Saturday, December 12, 2015

WASOMI KUMJADILI RAIS DK. MAGUFULI UDSM JUMAPILI

Waandaaji wa Mdajala kuhusu Hotuba ya Rais Dk. John Magufuli, aliyoitoa wakati wa kufungua Bunge mjini Dodoma, wakizungumza na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.



No comments: