Friday, April 29, 2016

AZIRI JENISTA ATEMBELEA BANDA LA MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI,

 WAZIRI wa NCHI ofisini ya WAZIRI Mkuu, Jenista Mhagama(wakwanza kulia), na naibu wake, Dkt. Abdallah Possi.(wapili kulia), walipotembelea banda la WCF, kwenye maonyesho ya Siku ya Usalama na afya mahala pa kazi mjini Dodoma Aprili 28, 2016.Kushoto ni afisa uhusiano
mwandamizi wa WCF, Sebera Fulgence.WCF inashiriki maonyesho hayo yaliyoratibiwa na OSHA kwa ushirikiano na TUCTA, ikiwa ni sehemu ya maadhimishi ya Siku ya wafanyakazi Duniani(Mei Mosi).
Afisa uhusiano mwandamizi wa WCF, Sebera Fulgence, akizungumza kwenye maonyesho hayo ya OSHA.
Wananchi wakipatiwa MAELEZO kuhusu mafao ya fidia kwa wafanyakazi kutoka kwa maafisa wa WCF(kushoto).

No comments: