Thursday, June 23, 2016

KAMPUNI YA TOMONI FARMS LIMITED YAFUNGUA DUKA NA MGAHAWA WA KISASA

DSC_8047
Baadhi ya bidhaa zinavyoonekana ndani ya duka hilo.
DSC_8049 DSC_8057
Baadhi ya mbogamboga za aina mbalimbali zikiwa zimehifadhiwa katika vifaa maalum
DSC_8059 DSC_8062Sehemu ya asili hasili inayotengenezwa na kampui hiyo
DSC_8071
Sehemu ya mchele na bidhaa zingine za nafaka zinazopatikana katika duka hilo.
DSC_8065sehemu ya matundaDSC_8074
Mfanyakazi wa kampuni ya Tomoni Farms Limited, Dada Jacqueline Mafubo akionyesha moja ya bidhaa za matunda yanayopatikana dukani hapo.
DSC_8079
DSC_8077 DSC_8089
Mfanyakazi wa kampuni ya Tomoni Farms Limited, Dada Jacqueline Mafubo akionyesha moja ya maboga bidhaa zinazopatikana dukani hapo.
DSC_8081
Mfanyakazi wa kampuni ya Tomoni Farms Limited, Dada Jacqueline Mafubo akionyesha mboga mboga za aina mbalimbali zinazopatikana dukani hapo.
DSC_8097Mfanyakazi wa kampuni ya Tomoni Farms Limited, Dada Jacqueline Mafubo akionyesha bidhaa maharage ya aina tofauti dukani hapo.
DSC_8099
DSC_8095
Mfanyakazi wa kampuni ya Tomoni Farms Limited, Dada Jacqueline Mafubo akionyesha moja ya bidhaa za asali dukani hapo.
DSC_8096Mfanyakazi wa kampuni ya Tomoni Farms Limited, Dada Jacqueline Mafubo akionyesha moja ya bidhaa za kalanga dukani hapo.
DSC_8086 DSC_8085 DSC_8093 DSC_8094 DSC_8117baadhi ya bidhaa zikiwa kwenye jokofu maalum zinapoifadhiwa.
DSC_8121Mkurugenzi wa uendeshaji wa Kampuni ya Tomoni Farms Limited, Bwana Franklin Bagalla akionyesha wanahabari (Hawapo pichani) bidhaa mahala zinapohifadhiwa katika jokofu maalum la matunda na mboga mboga.
DSC_8136Baadhi ya wanahabari na wadau wakijadiliana jambo nje ya kamouni hiyo ta Tomoni Farms Limited.
DSC_8148 Mkurugenzi wa uendeshaji wa Kampuni ya Tomoni Farms Limited, Bwana Franklin Bagalla akiwa nje ya Bar maalum ya masuala ya matunda halisi pamoja na mbogamboga
DSC_8138 MatataG_4336Nje ya duka hilo la kisasa linavyoonekana lililopo katika jengo la Green House, eneo la jirani na Victoria, Jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Andrew Chale,Modewjiblog).

No comments: