Sunday, July 9, 2017


Mkurugenzi wa ZIFF, Daniel Nyalusi (kulia) akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Zanlink wakipata picha wakati wa ufunguzi huo wa tamasha la ZIFF 2017, ambalo kwa mwaka huu ni la 20, tokea kuanzishwa kwake.
Wadau mbalimbali wa wakipata picha wakati wa ufunguzi huo wa tamasha la ZIFF 2017, ambalo kwa mwaka huu ni la 20, tokea kuanzishwa kwake.
Mkurugenzi wa zamani wa ZIFF, Profesa Martin Mhando akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Busara Promotion ambao ni waandaji wa tamasha la Muziki la Sauti za Busara, Yusuph Mahmoud ama 'Dj Yusuf'

wadau wakiwa kwenye picha ya kumbukumbu
Mwendesha kipindi cha senema zetu akiwa 'mbashara' wakati wa ufunguzi huo
Mmoja wa wageni waliofika kwenye tamasha hilo ambapo alikuwa kivutio kwa muonekano wake wa kama aliyeigiza filamu ya YESU " JESUS'
Mwenyekiti wa ZIFF, Mh. Mahmoud Thabiti Kombo akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa ZIFF, Daniel Nyalusi wakati wa uzinduzi huo
Mmoja wa wadau wakubwa wa tasnia ya filamu na muziki hapa nchini Dada Sauda Simba akihojiwa 'mbashara' na kipindi cha SINEMA ZETU
Wadau mbalimbali wakipata picha ya ukumbusho kwenye zuria jekundu
wadau wakipata kumbukumbu
Mkurugenzi wa Fabrizio Colombo akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Busara Promotion ambao ni waandaji wa tamasha la Muziki la Sauti za Busara, Yusuph Mahmoud ama 'Dj Yusuf'
Burudani ikiwendelea
Rais Mstaafu wa awamu ya nne katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa ZIFF, Profesa Martin Mhando
Rais Mstaafu wa awamu ya nne katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi wageni waalikwa wakiwemo mabalozi wa nchi mbalimbali
Rais Mstaafu wa awamu ya nne katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na viongzi wengine wakipiga makofi kupongeza bendi iliyokuwa ikitumbuiza
upande wa viongozi na wagei waalikwa wakifuatilia tukio hilo
Wakurugenzi wapya wa ZIFF wakitambulishwa katika ufunguzi huo, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ZIFF Daniel Nyalusu na kushoto ni Mkurugenzi wa ZIFF Fabrizio Colombo
Mkurugenzi wa ZANLINK akizungumza katika tamasha hilo
Burudani
Mwenyekiti wa ZIFF 2017, Mahmoud Thabit Kombo akimkaribisha mgeni rasmi Dkt. Kikwete jukwaani
Rais Mstaafu wa awamu ya nne katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameshika tuzo yake hiyo ya mtu aliyetukuka wa ZIFF baada ya kukabidhiwa na Bodi ya ZIFF usiku wa Jumamosi Julai 8,2017. Ngome Kongwe, Unguja
Rais Mstaafu wa awamu ya nne katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza katika tukio hilo
Rais Mstaafu wa awamu ya nne katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifuatilia filamu ya T-Junction ya Amri Shivji iliyokuwa ikifungua tamasha hilo
Dkt. Kikwete akiselebuka pamoka naMkurugenzi wa ZIFF, Fabrizo Colombo pamoja na kikundi cha Mwandege wakati wa tukio hilo la ufunguzi wa tamasha la ZIFF la 20
Mkurugenzi wa ZIFF, Fabrizo Colombo akizungumza katika tukio hilo
Amir Shivj wa Kijiweni Production akitambulisha 'crew' yake ya wasanii walioigiza katika filamu ya T-Junction.
Picha zote na Andrew Chale-MO BLOG, Zanzibar

No comments: