Friday, October 3, 2008

Bahati Nasibu ya Jishindie Benz Yapagawisha mashabiki mitaani!


Ikiwa ni siku chache tangu kuzinduliwa kwa Shindalo la Jishindie Benz, linaloendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd ya jijini Dar es Salaam, wasomaji wameonekana kupagawa baada ya kugombania magazeti na bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na kampuni hiyo.

Gari la matangazo la kampuni hiyo ambalo hupita kila kona ya jiji la Dar es Salaam, limekuwa likizingirwa na wasomaji wakitaka kununua vitu mbalimbali vinavyozalishwa na Global Publishers. Washkaji changamkieni tenda hiyo, huwezi jua mshindi anaweza kuwa wewe.

No comments: