Wiki hii ilikuwa ni ya Basil Mramb na Daniel Yona kutamba mahakamani kwa ubadhirifu..na wakati huo huo Mramba kutawala zaidi kwenye media baada ya kuwepo kwa harusi ya binti yake aliyeolewa Jumamosi hii katika kanisa la Mt. Petro (St. Peter) Oysterbay jijini Dar es salaam...alikuwa ahudhurie harusi hiyo lakini ikashindikana baada ya dhamana yake kukwama hivyo kulazimika kuendelea kunyea debe Keko kwa wikiendi nzima!!!
No comments:
Post a Comment