Saturday, December 13, 2008

Anusurika kufa baada ya mshale kuzama kwenye kichwa!!

Mwanafunzi wa umri wa miaka 11 nchini China (pichani juu), amenusurika kufa baada ya mshale uliorushwa na rafiki yake kuzama kichwani mwake kupitia kwenye jicho
lake, aliwahishwa hospitali huku mshale huo ukiwa bado umezama kwenye
kichwa chake...

kwa habari zaidi: NIFAHAMISHE.COM

No comments: