Tuesday, September 28, 2010

P-FUNKY APASUA JIPU!


Producer na mmiliki wa Bongo Records, P.Funky 'majani', ambaye wikiendi iliyopita aliingia katika 'bifu' na Mfalme wa Rhymes Afande Sele, amevunja ukimya na kuongelea tukio hilo. Majani anakiri kumchapa kibao Afande lakini anakanusha kumtolea bastola kama alivyodai Sele na kunukuliwa katika media, Hapa anaelezea kisa kizima na sababu zilizomfanya amuadabishe mfalme huyo wa Rhymes wa Bongo...Bonyeza player msikilize mwenyewe.......

P-funky

No comments: