Thursday, January 20, 2011

SURA ZA LAUNCH YA KILI AWARDS 2011

B12 (kulia) akiwa na mtangazaji mwenzie Antonio na mwanadada Mwasiti katika uzinduzi wa Kili Awards jana pale Double Tree hotel.
..Diamond akifanya makamuzi stejini
Diamond na wasanii wenzake wakikupa HI!
Khadija Yusuf (kushoto) akiwa na wasanii wenzake wa taarabu...waliwakilisha wenzao
Mtangazaji machachari Millard Ayo (kulia), DJ Venjure (kati) na Sauda Mwilima wa Star TV
From Left. Msanii Amini, Mike Tee na Mwana FA
Mtangazaji Penny (shoto) akiwa na Tayana ndani ya Kili Awards
baadhi ya wasanii waliopata tunzo mwaka jana wakiimba wimbo wa pamoja
AY, Joh Makini (shoto) wakiwakilisha Hip Hop

No comments: