ndiye alikuwa 'the man of the show' wakati akitambulisha albamu yake akiwa pamoja na wasanii wenzake watano wa THT. Katika shoo hiyo ya Mlimani City, Mataluma alikuwa msanii pekee aliyewainua mashabiki vitini pale alipoanza kuimba nyimbo zake za Mama Mubaya na mchiriku wa Kariakoo.
Wimbo: Mama Mubaya - Mwimbaji: Mataluma - Production: Sound Crafters -Video by: E-Media
No comments:
Post a Comment