
Mkurugenzi wa Aseti Asha Baraka akiongea na mama balozi

Tina and jesse malongo

wadau wakila pozi

wakati wa kulisakata rhumba

Maofisa kutoka ubalozini katika sherehe

Mh Balozi akifungua sherehe

Mh Balozi akiwa na mkewe wakifungua mziki

Mh Balozi Akiwa na Urban Pulse

Mh balozi Kallaghe na mkewe wakijiandaa kufungua dansi

Francia ambaye alikuwa akisherekea siku ya kuzaliwa jana na meneja wake Shelamima

Jambo band akitumbuiza

kawelee akiwa mzigoni

kiondo kutoka ubalozini akiwa na familia yake

Kutoka kushoto Abu Faraji akiwa na Chriss love
URBAN PULSE CREATIVE imewaletea picha za sherehe za kuadhimisha Muungano wa Tanzania na Zanzibar zilizofanyika London tarehe 30.4.2011. Sherehe hizo zimedhaniwa na swift Freight.
Asanteni
No comments:
Post a Comment