Saturday, October 15, 2011

DEO NJIKU AJIANDAA KUMKABILI JONAS SEGU WIKI IJAYO

 
Kocha wa Mchezo wa ngumi, Boma Kilangi (kushoto) akimsimamia mazoezi bondia Deo Njiku wa Morogoro wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa ubingwa zidi ya Jonas Segu wa Dar es Salaam  litakalofanyika Uwanja wa Jamuhuri Morogoro wiki ijao.

No comments: