MRISHO'S BLOG

Pages

  • Home
  • BIG D GENERAL SUPPLIER

.

.
.

Monday, October 3, 2011

London Model Network Yafana!

Salam
URBAN PULSE CREATIVE na MISS JESTINA BLOG wanakuletea picha za London Model Network show iliyofanyika jijini London ijumaa tarehe 30 septemba 2011 ndani Ukumbi wa  AURA uliopo MAYFAIR  ikiwashirikisha warembo kutoka pande zote za Dunia, Make up Artist, Stylist, na Designers. Mojawapo Wageni Rasmi walikuwa ni Celebrities Superstar Robert DeNiro na Rebbeca Black.

Show Hii iliandaliwa na SEE LI
Asanteni,
URBAN PULSE Wakishirikiana Na Miss JESTINA BLOG

 cat walking ikiendelea
 Frank akila Pozi Na Robert DeNiro
 Model, Stylist Na Make up artist wakila pozi baada ya show

Posted by Mrisho's Photography at 8:37 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Blog Up

The Best online Users

Together Tunawakilisha......

Together Tunawakilisha......
Abdallah Mrisho ‘Abby’

Kuchi kuchi John Pro Remix Ug Msk J' Odie

MY PARTNERS!

  • JIACHIE
    TRAMEPRO YAUNGANA NA SERIKALI NA WADAU KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA WAFANYAKAZI WA KIBINADAMU
    23 minutes ago
  • MICHUZI BLOG
    Maonesho ya Wiki ya Elimu Tanga kuzinduliwa na Waziri Mkenda
    17 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K
    2 years ago
  • H@ki Ngowi
    Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
    8 years ago
  • HARUSINI
    LAILA & WASIA MAYA'S WEDDING RECEPTION IN U.S.A
    9 years ago
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync
    10 years ago
  • MjengwaBlog
  • THE BEST

Total Pageviews

Translate

Search This Blog

HOT VIDEO

Popular Posts

  • VILLAGE PASTOR YATUA MTAANI J3
    Kanumba kiwa na aunt Ezekiel Kanumba akiwa bush na washikaji ...mmmmwaaa!!! Akiongea nami, Kanumba amesema kuwa baada ya kusubiriwa kwa hamu...
  • STAA WA BONGO HOLLYWOOD USA!
    Steve Kanumba Ray Kigosi Hawa ndio mastaa wa filamu wa Bongo waliojuu kwa sasa! Tumepewa taarifa, tayari staa mmoja wa filamu Bongo, Steve ...
  • MIDOMO INAYODATISHA!
  • PUMU HAIPATANI NA VYAKULA VYA MAFUTA
    Kama tunavyosema kila siku, hakuna kitu kibaya kama mgonjwa kutokujua aina ya vyakula anavyopaswa kula na kuviepuka. kwa sababu bila kuwa na...
  • MWONGOZO WA UKUAJI BORA WA MIJI WAZIDI KUNOLEWA
      Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) Dkt. Tausi Kida akitoa neno la ukaribisho wakati wa mkutano ...
  • Waraka wangu juu ya maisha ya ulaya
    kaka,heshima yako..! nimesoma makala yako kwenye blog yako jinsi mwanafalsafa alivyoelezea juu ya maisha yalivyo magumu ulaya,mi napingana n...
  • ASALI: KIBOKO YA UNENE UNAOWAKERA WANAWAKE
    Wiki iliyopita nilipokea simu na ‘sms’ nyingi ambazo zijawahi kupokea tangu nianze kuandika makala mbalimbali kuhusu ulaji sahihi. Wengi nil...
  • UTATA: MICHAEL MUISLAMU, MKRISTO?
    Baada ya kifo chake, utata umeibuka kuhusu dini yake, wapo wanaosema Michael alikuwa Muislamu na wapo wanaopinga na kusema alikuwa Mkristo t...
  • WAZIRI MWIJAGE AIPONGEZA KAMPUNI YA TOTAL KWA KUZINDUA MAFUTA YA MAGARI RAFIKI KWA MAZINGIRA
     Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mafuta ya Total Excellium ya pet...

LOOK FOR YOUR STORY HERE

Awesome Inc. theme. Theme images by tomograf. Powered by Blogger.