Saturday, November 5, 2011
MAKULILO SCHOLARSHIP BOOK TRAILER
Nipo katika hatua za mwishoni za uandishi wa kitabu kihusucho mambo ya udhamini wa elimu - ughaibuni.
Jina la kitabu ni SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES IN AMERICA AND EUROPE: The Secret From Makulilo
Mtunzi: Ernest Boniface Makulilo (MAKULILO, Jr.)
Kitabu kinatarajiwa kuwa sokoni mwanzomi mwa 2012.
Sikiliza BOOK TRAILER upate kujiandaa kupata nakala yako mara kitabu kikiingia sokoni.
Jina la kitabu ni SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES IN AMERICA AND EUROPE: The Secret From Makulilo
Mtunzi: Ernest Boniface Makulilo (MAKULILO, Jr.)
Kitabu kinatarajiwa kuwa sokoni mwanzomi mwa 2012.
Sikiliza BOOK TRAILER upate kujiandaa kupata nakala yako mara kitabu kikiingia sokoni.
Pia TRAILER inapatikana kwenye link Nipo naandika kitabu cha mambo yahusuyo scholarships. Jina la kitabu ni SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES IN AMERICA AND EUROPE: The Secret From Makulilo, Jr.
Kitabu kinatarajiwa kuwa sokoni mwakani mwanzoni 2012. Unaweza kusikiliza BOOK TRAILER ya kitabu changu nimeweka katika MP3 format. Sikiliza TRAILER pia katika link hii http://soundcloud.com/makulilo/scholarship-opportunities-in
Kwa habari zaidi za udhamini wa elimu ughaibuni tembelea tovuti zifuatazo:
Kitabu kinatarajiwa kuwa sokoni mwakani mwanzoni 2012. Unaweza kusikiliza BOOK TRAILER ya kitabu changu nimeweka katika MP3 format. Sikiliza TRAILER pia katika link hii http://soundcloud.com/makulilo/scholarship-opportunities-in
Kwa habari zaidi za udhamini wa elimu ughaibuni tembelea tovuti zifuatazo:
2. SCHOLARSHIP FORUM www.scholarshipnetwork.ning.
3. SCHOLARSHIP SHOW www.youtube.com/
4. TWITTER www.twitter.com/
5. FOUNDATION www.makulilofoundation.org
Kwa mawasiliano nami: E-Mail makulilo@makulilofoundation.
MAKULILO
BONDIA FRANCISI MIYAYUSHO ANDELEA KUSHEREKEA UBINGWA KINONDONI
Msanii Recho akiongea wakati wa sherehe ya kumpongeza bondia FrancisMiyayusha ambapo amesema atashirikiana nae bega kwa bega mpakakuakikisha kinajegwa chuo cha sanaa KInondoni kwa ajili ya michezombalimbali Wilayani humo
Bondia Fransic Miyayusho (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja napromota wake Mohamedi Bawaziri na kushoto ni Mdau wa michezo Wilaya yaKinondoni, Prosper Mzee pamoja na kocha wake msaidizi (kulia).
Bondia Fransic Miyayusho wa pili (kulia) akimkabidhi mkanda aliyekuwaKatibu Mkuu wa Chama cha Ngumi za Ridhaa Nchini(BFT) ambaye sasa niMfadhiri wake Meja, David Kyungu kulia wakati wa sherehe ya kumpongezabaada ya kuwa bingwa wa mkanda wa UBO kwa kumtwanga bondia, Mbwana
Matumla wa Temeke kulia Promota wake, Mohamedi Bawaziri na Mdau wamichezo wa Wilaya ya Kinondoni Prosper Mzee.
Matumla wa Temeke kulia Promota wake, Mohamedi Bawaziri na Mdau wamichezo wa Wilaya ya Kinondoni Prosper Mzee.
(Picha na
www.superdboxingcoach. blogspot.com)
Shopping Festival to be held during Swahili Fashion Week 2011/ Manunuzi mbalimbali kufanyika katika Swahili Fashion Week 201
If you would like to buy and
sell anything from Swahili Fashion week 2011, you can definetily get It from
the Shopping Festival during and After the event,
SO IF YOUR INTERESTED TO HAVE PLACE TO SELL ANYTHING DURING THE SWAHILI FASHION WEEK EVENT PLEASE BOOK AND LEASE YOUR PLACE NOW.
SO IF YOUR INTERESTED TO HAVE PLACE TO SELL ANYTHING DURING THE SWAHILI FASHION WEEK EVENT PLEASE BOOK AND LEASE YOUR PLACE NOW.
For more information please call:
Hamis K Omary
0719252628
0787747918
Ngoma Africa Band na nyimbo mpya za miaka 50 ya uhuru
BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, "Ngoma Africa Band" a.k.a FFU, yenye makao yake nchini Ujerumani, imeachia hewani CD mpya yenye nyimbo za miaka 50 ya Uhuru. Nyimbo zilizomo katika CD hiyo ni utunzi na uimbaji wa kiongozi wa bendi hiyo, Kamanda Ras Makunja akiimba kwa kushirikiana na Chris-B na mpiga solo wa kikosi hicho.
Habari kutoka katika bendi hiyo ni kwamba nyimbo hizo zimetua pia katika blog mbalimbali za hapa Bongo pamoja na vituo vya Redio vya Deutche Welle mjini Bonn, Radio VOA ya Washington na Radio Free Africa Mwanza. Nyimbo hizo zimepokelewa vyema na zinaweza kutoa burudani kwa wananchi katika shamra shamra za miaka 50 ya uhuru.
Nyimbo hizo mbili ni:
(1) Miaka 50 Uhuru (rhumba)
(2) 50 Uhuru Shangwe
Nyimbo hizo pia zinasikika kupitia www.ngoma-africa.com
Habari kutoka katika bendi hiyo ni kwamba nyimbo hizo zimetua pia katika blog mbalimbali za hapa Bongo pamoja na vituo vya Redio vya Deutche Welle mjini Bonn, Radio VOA ya Washington na Radio Free Africa Mwanza. Nyimbo hizo zimepokelewa vyema na zinaweza kutoa burudani kwa wananchi katika shamra shamra za miaka 50 ya uhuru.
Nyimbo hizo mbili ni:
(1) Miaka 50 Uhuru (rhumba)
(2) 50 Uhuru Shangwe
Nyimbo hizo pia zinasikika kupitia www.ngoma-africa.com
Thursday, November 3, 2011
SWAHILI FASHION WEEK TO CELEBRATE 50 YEARS OF “UHURU”
Redd's Kenya Marketing Manager Pinkie Nyandoro Addressing the Media, on her right is USAID Compete Representative J C Mazingue
Mustafa Hassanali briefing the Media, on his left is USAID Compete Representative Finn Holm-Olsen and on the right Redd's Kenya Marketing Manager Pinkie Nyandoro
Cross section of kenyan Media who attended the Swahili Fashion Week media Briefing on Nov 2 hosted by Redd's original
Swahili Fashion Week, East and Central Africa largest fashion event, now in its Fourth year, will be held at The National Museum on the 10th, 11th and 12th November 2011 in Dar Es Salaam, Tanzania.
Swahili Fashion Week 2011 will collectively bring together 50 fashion and accessories designers from Swahili speaking countries and beyond to showcase their creativity and forecast future fashion trends for the region.
“Over the years since its inception in 2008, we have grown tremendously, and now we look towards regional integration of the East Africa Member states using the Fashion industry , Thus Launching Officially Swahili Fashion week – Kenya Chapter this year especially when we celebrating 50 years of Tanzanian Independence” stated the founder of the Fashion week Mustafa Hassanali. When he addressed the Kenyan Media on 2 November 2011 at a reception hosted by REDD’S in Nairobi
Four Kenyan Designers have been invited to showcase at this event, namely Patricia Lulu Mbela of Poisa, Rachel Mutindi of KI2 Collection, Vera vee Ochia from Malindi and Sonu Sharma of just Like that.
“Being the drink of choice for the discerning woman, REDD’S Original, wishes the Kenyan designers showcasing at Swahili fashion week the very best and we hope they shall showcase Kenyan creativity to its best” stated Redd’s Marketing manager Pinkie Nyandoro
In addition to the Fashion Show presentations, Swahili Fashion Week Shopping Festival which was incorporated in year 2010 will once again be the main feature and up to date more than 40 exhibitors participating thus making it the largest shopping festival in the country.
“Opening Swahili Fashion Week to a new audience, and keeping to the tradition of being first, this year we shall unveil the first ever Fashion Awards in East and Central Africa celebrating achievements made by the fashion industry stakeholders not only in the Tanzania but also in the region ”, added Hassanali
In the Best East African Designer category, nominees from Kenya are Wambui Njogu of MOO COW, Anne Mcreath of KIKO ROMEO, Patricia Mbela of POISA and John Kaveke.
“Being Truly East African, Precision Air, Tanzania Largest and Fastest Growing Private airline truly embodies the value of regional integration, hence being the Official Airline of the Region Largest Fashion event, we look forward to promoting the Fashion Industry within East Africa.” Stated Precision Air Country manager Sarah Wachira.
USAID Compete Have played a pivotal role in the Swahili Fashion Week by Empowering the Knowledge of the Various Industry stakeholders as to how to integrate marketing with Fashion, building World Class East African Brands.
“With our Ambitious plan to promote the Business of Fashion in the region, I would like to thank all our Partners, some of whom have supported us from the past previous Years to-date in Our initiative to develop , nurture and foster growth of the regions fashion and textile industry “ Concluded Mustafa
Swahili fashion week 2011 has been sponsored by USAID – Compete, Origin Africa home of Swahili Fashion Week - Southern Sun, EATV, East Africa Radio, Precision Air, BASATA (Baraza La Sanaa Tanzania), Amarula, Ultimate Security, REDD’S original, Image Masters, Global Outdoor Ltd, Vayle Springs Ltd, Eventlites, Nipashe, Perfect Machinery Ltd, Michuzi blog, PKF Tanzania, photo point and 361 Degrees.
For more information visit: www.swahilifashionweek.com
D'Banj to be honoured at the 2011 Channel O Video Music Awards
Nigerian superstar, D’Banj, has been named as this year’s Special Recognition award recipient at the upcoming Channel O Music Video Awards which will be broadcast LIVE on DStv on Friday, 11 November.
D’Banj follows in the footsteps of many of Africa’s prominent and successful musicians including K’NAAN who was given the Special Recognition Award in 2010, Brenda Fassie in 2009 and George Lee in 2008.
Being honoured in this way by the Channel O Music Video Awards, which he also co-hosted with DJ Sbu in 2007, is even more notable for the fact that D’Banj released his debut album just six years ago. However, in that time he has made a huge impact nationally, continentally and now internationally, with his recent signing to Kanye West’s G.O.O.D Music record label.
Since the release of his debut, No Long Thing in 2005, featuring the smash hit Tongolo, D’Banj has worked ceaselessly to create a career that is now the benchmark for 21st century African artists. D'Banj's second album, Rundown Funk U Up (2006) proved his ability to create club hits, Tongolo (Remix) as well as radio number ones, like the single Why Me? His hit-making ability was only reinforced in 2008 with the release of his third album, The Entertainer, featuring the singles Gbono Feli Feli, Kimon, Olorun Maje and Entertainer.
“It’s really an honour for us to be celebrating an artist such as D’Banj for this year’s Special Recognition Award. Besides the obvious success that D’Banj has had, one of the stand-out factors is that his career, his success and his path run parallel with the growth that we have seen in the African music industry since the inception of the Channel O Music Video Awards. To us he represents a breed of African urban artists who are the African dream,” says Leslie ‘Lee’ Kasumba, Channel O Africa Manager.
“His star has been rising for many years now. D’Banj is an artist who has the ability to communicate and connect in a meaningful way. As a musician he is a trendsetter and as a presenter he is entertaining with a wonderful sense of humour. His success both at home and internationally is a testament to his great talent and I am in no doubt that this is just the beginning,” says M-Net Channel Director Yolisa Phahle.
D'Banj’s most recent big-hitter is also his most high profile: a remix of ‘Mr Endowed’ featuring the inimitable Snoop Dogg that was released in February 2011.
His generous approach to music-making has seen him collaborate with the likes of Dare Art-Alade's (on Escalade Part 2) and Ikechukwu. He is also part of Mo' Hits Records’ collective, Mo' Hits Allstars which includes Dr SID, Wande Coal, k-Switch and D'Prince.
His role as Nigeria's first United Nations Youth Ambassador for Peace and the founder of the Koko Foundation for Youth and Peace Development says a great deal about D’Banj’s commitment to Nigeria and Africa. This is also reflected in his music through which he brings the Afrobeat sounds of his mentor Fela Kuti to life and into the 21st century through songs performed in Yoruba, English and Pidgin English. In doing this, D’Banj works with his producer Don Jazzy who has also been signed to G.O.O.D. Music.
Alongside his recording career, D’Banj has proved to be a brilliant live performer: he is a regular at the annual This Day Africa Rising Music Festival and has performed at Femi Kuti’s new Afrikan Shrine in Lagos as well as the Shrine Synchro System’s regular London Night at Cargo. Other high-profile appearances include performing at the Black President Concert in memory of Fela’s art and legacy at the Barbican in London and alongside many international artists performing in Nigeria, among them Kelly Rowland (2008).
On June 9, 2011, D’Banj wrote on his twitter account, @iamdbanj, "Just like yesterday, myself and my brother did Tongolo. 6 years later, Mo'Hits signs with GOOD Music. Best Birthday gift ever. God thank you." Now D’Banj 2011 is set to get even better as he’s honoured by Africa’s longest-running music awards with the Channel O Music Video Awards’ Special Recognition Award.
Voting for the 2011 Channel O Music Video Awards is now CLOSED.
The Channel O Music Video Awards will be broadcast LIVE on Channel O (DStv Channel 320) on Friday 11 November 2011 from the Sandton Convention Center at 22:00 EAT.
D’Banj follows in the footsteps of many of Africa’s prominent and successful musicians including K’NAAN who was given the Special Recognition Award in 2010, Brenda Fassie in 2009 and George Lee in 2008.
Being honoured in this way by the Channel O Music Video Awards, which he also co-hosted with DJ Sbu in 2007, is even more notable for the fact that D’Banj released his debut album just six years ago. However, in that time he has made a huge impact nationally, continentally and now internationally, with his recent signing to Kanye West’s G.O.O.D Music record label.
Since the release of his debut, No Long Thing in 2005, featuring the smash hit Tongolo, D’Banj has worked ceaselessly to create a career that is now the benchmark for 21st century African artists. D'Banj's second album, Rundown Funk U Up (2006) proved his ability to create club hits, Tongolo (Remix) as well as radio number ones, like the single Why Me? His hit-making ability was only reinforced in 2008 with the release of his third album, The Entertainer, featuring the singles Gbono Feli Feli, Kimon, Olorun Maje and Entertainer.
“It’s really an honour for us to be celebrating an artist such as D’Banj for this year’s Special Recognition Award. Besides the obvious success that D’Banj has had, one of the stand-out factors is that his career, his success and his path run parallel with the growth that we have seen in the African music industry since the inception of the Channel O Music Video Awards. To us he represents a breed of African urban artists who are the African dream,” says Leslie ‘Lee’ Kasumba, Channel O Africa Manager.
“His star has been rising for many years now. D’Banj is an artist who has the ability to communicate and connect in a meaningful way. As a musician he is a trendsetter and as a presenter he is entertaining with a wonderful sense of humour. His success both at home and internationally is a testament to his great talent and I am in no doubt that this is just the beginning,” says M-Net Channel Director Yolisa Phahle.
D'Banj’s most recent big-hitter is also his most high profile: a remix of ‘Mr Endowed’ featuring the inimitable Snoop Dogg that was released in February 2011.
His generous approach to music-making has seen him collaborate with the likes of Dare Art-Alade's (on Escalade Part 2) and Ikechukwu. He is also part of Mo' Hits Records’ collective, Mo' Hits Allstars which includes Dr SID, Wande Coal, k-Switch and D'Prince.
His role as Nigeria's first United Nations Youth Ambassador for Peace and the founder of the Koko Foundation for Youth and Peace Development says a great deal about D’Banj’s commitment to Nigeria and Africa. This is also reflected in his music through which he brings the Afrobeat sounds of his mentor Fela Kuti to life and into the 21st century through songs performed in Yoruba, English and Pidgin English. In doing this, D’Banj works with his producer Don Jazzy who has also been signed to G.O.O.D. Music.
Alongside his recording career, D’Banj has proved to be a brilliant live performer: he is a regular at the annual This Day Africa Rising Music Festival and has performed at Femi Kuti’s new Afrikan Shrine in Lagos as well as the Shrine Synchro System’s regular London Night at Cargo. Other high-profile appearances include performing at the Black President Concert in memory of Fela’s art and legacy at the Barbican in London and alongside many international artists performing in Nigeria, among them Kelly Rowland (2008).
On June 9, 2011, D’Banj wrote on his twitter account, @iamdbanj, "Just like yesterday, myself and my brother did Tongolo. 6 years later, Mo'Hits signs with GOOD Music. Best Birthday gift ever. God thank you." Now D’Banj 2011 is set to get even better as he’s honoured by Africa’s longest-running music awards with the Channel O Music Video Awards’ Special Recognition Award.
Voting for the 2011 Channel O Music Video Awards is now CLOSED.
The Channel O Music Video Awards will be broadcast LIVE on Channel O (DStv Channel 320) on Friday 11 November 2011 from the Sandton Convention Center at 22:00 EAT.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa alizundua rasmi gazeti Kwanza Jamii
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma, juzi jioni alizindua rasmi gazeti la Kwanza Jamii. Gazeti hilo
litakuwa rikiripoti habari zenye kuhusu mkoa wa Iringa. Sherehe hizo za
uzinduzi zilifanyika kwenye viwanja vya Mwembetogwa mjini Iringa.
Kwa picha zaidi , tembelea; http://mjengwa.blogspot.com
Kwa picha zaidi , tembelea; http://mjengwa.blogspot.com
Wednesday, November 2, 2011
DAR NEWEST & MODERN LOUNGE
Dear Good People!
Welcome to Savannah Lounge, Dar Es Salaam finest
luxury lounge, where every element has been carefully selected to be at the
forefront of contemporary design and style.
VIP Lounge
VIP guests enjoy the chilled atmosphere and great
décor, warm, earthy colours and ample seating lounge for watching sports.
PRIVATE EVENTS
Savannah lounge is also available for exclusive
private event from 30 to 1000 guests. We provide full catering facilities
ranging from buffets and delightful Ala carte to 10 course meals.
Exclusive private hire available for:
* Business Meeting
* Corporate Events
* Fashions shows
* Cocktails parties
* Birthday parties
* Wedding reception
* Press and promotional launches
* Photographic shots
* Film or Advertising location
LEMON TREE RESTAURANT
The Lemon Tree Restaurant provides a sleek and
sophisticated contemporary dining experience with delightful menus to suit
different occasions. Origin is especially important; we use only those
suppliers who are keen on quality and freshness. Everyday a different theme
cuisine!
Savannah Lounge and Lemon Tree are conveniently
located at NEW QUALITY CENTRE , PUGU ROAD,
P.O. Box 2879, Dar Es Salaam, Tanzania.
Tel +255656011178, 0773299091,
Email: marketing@jbbelmonthotel.com
Tuesday, November 1, 2011
CHEGGE, TEMBA NA MATALUMA KUINOGESHA FESTIVAL YA TWANGA PEPETA.
Wasanii Chegge, Mheshimiwa Temba na Mataluma wameongezwa kwa ajili
ya kutoa burudani katika Tamasha la Twanga Pepeta linalotaraji kufanyika
siku ya Jumapili tarehe 06-Novemba-2011 katika viwanja vya Leaders Club
vilivyopo Kinondoni.
Tamasha hilo litakuwa ni kwa ajili ya Uzinduzi wa Albamu mpya ya Twanga Pepeta iitwayo Dunia Daraja na kusherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Tamasha hilo litakuwa ni kwa ajili ya Uzinduzi wa Albamu mpya ya Twanga Pepeta iitwayo Dunia Daraja na kusherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
MISS TANZANIA AJIACHIA VILIVYO UGHAIBUNI
Miss Vodacom Tanzania 2011 Salha Israel wa Tatu kutoka kulia akifurahia kwa Shangwe wakati wa Highland Games kuelekea kinyang'anyiro cha Mrembo wa Dunia
Hapa Miss Vodacom Tanzania 2011 Salha Israel wa kwanza kushoto akiwa katika Vazi la Ufukweni na Wenzake katika maonesho ya Mavazi hayo hapo jana.
Kwa picha zaidi Tembelea: www.fredynjeje.blogspot.com
BASATA YATAKA WASANII KUJIKITA KWENYE SANAA ZA ASILI
Katibu
Mtendaji wa BASATA, Ghonche Materego akizungumza na wadau wa Jukwaa la
Sanaa kuhusu umuhimu wa Sanaa za Asili wakati Kikundi cha Ngoma za Asili
cha Chabwede kutoka Kijiji cha Makumbusho ya Taifa kikitumbuiza. Kulia kwake ni Katibu wa Kundi hilo, Anna Said Tindima.
Katibu
wa Kundi la Chabwede, Anna akiwaleza Wadau wa Jukwaa la Sanaa juu ya
hatari ya kufifia kwa ngoma za asili kutokana na Vijana wengi kuipa
kisogo fani hiyo.
Akina
mama wapiga ngoma kwenye Kundi la Chabwede wakiwajibika vilivyo wakati
wakitoa burudani kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA wiki hii.
Wacheza
ngoma wa Kundi la Chabwede wakionesha vitu vyao kwenye Jukwaa la Sanaa
linalofanyika kila Jumatatu makao makuu ya BASATA, Ilala Sharif Shamba.
Sehemu
ya wadau waliohudhuria Jukwaa la Sanaa wiki hii wakifurahia burudani
iliyokuwa ikiporomoshwa na Kundi la Ngoma za Asili la Chabwede.
Na Mwandishi Wetu
Baraza
la Sanaa la Taifa (BASATA) limewataka wasanii kujikita kwenye ngoma za
asili huku likitoa wito kwa wasanii wakongwe katika fani hiyo
kuirithisha kwa watoto.
Wito huo umetolewa wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo,
Ghonche Materego mara baada ya kushuhudia burudani ya kuvutia
iliyoporomoshwa na Kikundi cha Ngoma za Asili cha Chabwede kwenye Jukwaa
la Sanaa linalofanyika kila wiki makao makuu ya BASATA.
Alisema
kuwa, kwa sasa ngoma nyingi za asili zinateteleka kutokana na wasanii
kujikita kwenye fani nyingine au kujiingiza kwenye sanaa za kisasa hivyo
kuhitajika juhudi za makusudi katika kurithisha sanaa hii kwa watoto
lakini pia wasanii kutumia vionjo vya asili katika kazi zao.
“Hapa
tumeambiwa ngoma kama za Segere na Mdundiko zinaanza kupotea, ni lazima
vikundi vya ngoma vihusishe watoto ili waweze kurithi” alisema
Materego.
Aliongeza kuwa, kuna
haja ya wasanii kuanza kujiuliza na kuzijaribu ngoma za asili kwenye
kazi zao, ili kuona ni kwa kiwango gani zinatofautiana kutoka eneo moja
hadi jingine lakini pia kuleta vionjo tofauti katika kazi zao.
Katika kuunga mkono harakati za Kundi la Chabwede katika kukuza fani ya ngoma za asili, BASATA ilitoa ngoma tatu za kisasa.
“BASATA
tunatambua juhudi za kundi hili, katika kuliunga mkono zaidi na
kuungana nalo katika kazi zao, tunalipatia ngoma tatu za kisasa”
aliongeza Materego.
Awali
akizungumza na Wadau wa Jukwaa la Sanaa baada ya kutoa burudani, Katibu
wa Kundi hilo linalofanya kazi zake eneo la Kijiji cha Makumbusho Anna
Said Tindima alisema kuwa, kwa sasa vijana wengi wamekuwa wakidharau
ngoma za asili hali inayodidimiza fani hiyo.
Aliongeza
kuwa, kuna kila sababu ya vijana kurudi kwenye asili zao na kujihusisha
kikamilifu na sanaa zinazopatikana maeneo yao ili kuhakikisha
hazipotei.
Vodacom yawekeza milioni 90 kwa shule 20 za msingi mkoa wa Dar es Salaam
Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba akimkabidhi msaada wa madawati Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mwongozo Elly Shuma kwa niaba ya walimu wenzake wa shule tano zilizonufaika na msaada huo wa madawati 225 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni shirini na ishirini na tano elf(20,25,000)kwa shule tano za wilaya ya Kinondoni na Ilala,Jumla ya madawati Elf moja yenye thamani ya Milion 90 yametolewa msaada kwa shule 20 za Mkoa wa Dares Salaam mwaka huu.
Pichani juu, Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba akiongea na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwongozo iliyopo Wilaya ya Kinondoni Jijini Dares Salaam mara baada ya kukabidhi msaada wa madawati 225 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 20,25,000,kwa shule tano za wilaya ya Kinondoni na Ilala,Jumla ya madawati Elf moja yenye thamani ya Milion 90 yametolewa msaada kwa shule 20 za Mkoa wa Dares Salaam mwaka huu.
Jana Vodacom Foundation imekamilisha kwa kutoa madawati 225 kwa shule 5 za Wilaya Ilala na Kinondoni ikiwa ni zoezi lililoanza mwezi wa nne la kutoa msaada wa madawati 1000 katika Mkoa wa Dar es salaam.
Tatizo la uhaba wa madawati katika shule mbalimbali za msingi hapa nchini ambalo limekuwa kwa namna moja ama nyingine likichangia kukosekana kwa mazingira dhabiti mashuleni linazidi kupata msukumo wa kutatuliwa kutoka kwa taasisi na mashirika binafsi nchini.
Moja ya mashirika hayo ni mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania ambao leo umekabidhi madawati mia mbili na ishirini na tano yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni ishirini na ishirini na tano elf,ikiwa ni utekelezaji wa muendelezo wa utoaji wa madawati katika shule za msingi za mkoa wa Dar es salaam.
Akizungumzia mradi huo Afisa Mkuu wa masoko na uhusiano wa kampuni hiyo Bi. Mwamvita Makamba amesema mradi huo ni sehemu ya kutambua umuhimu wa elimu kwa watoto wa kitanzania kama nyenzo muhimu ya kuwajengea mazingira bora ya kuja kujisaidia katika maisha yao na kulisadia pia taifa katika fani mbalimbali.
Vodacom Foundation imekuwa ikiweka mkazo kusaidia sekta ya elimu kama eneo muhimu la kuchangia nguvu na juhudi za serikali katika ustawi wa jamii nchini, hii ni awamu ya pili kwa mwaka huu na ni imani ya Vodacom kwamba madawati hayo yatapunguza uhaba katika shule ambazo zitaguswa.
"Tunatambua ukubwa wa tatizo na kwamba lipo takribani nchi nzima na tunaguswa nalo kama kampuni yenye kujali maisha ya watanzania na ndio maana kila mwaka tumekuwa tukiendesha kampeni maalum ya kuchangia madawati ni imani yetu kwamba ipo siku changamoto hii itabakia kuwa historia"Aliongeza Mwamvita Amesema ukosefu wa madawati nchini ni changamoto ambayo dhahiri ahitaji kufumbiwa macho wala kuzibiwa masikio inahitaji nguvu za pamoja za kila wadau ili kuwawezesha wanafunzi ambao ndio nguvu kazi ijayo ya taifa kuwa na mazingira bora, salama na kuwawezesha kufanya vema katika masomo yao.
"Inaumiza sana unapoona watoto wameketi sakafuni au kubanana katika dawati moja darasani, hii lazima itapunguza uwezo wao wa uelewa na ufuatiliaji masomo darasani ndio maana tukaamua kama kampuni inayoungwa mkono na watanzania kuonesha upendo wetu kwa kuwa na kampeni kabambe ya kusaidia madawati mashuleni"Amesema Afisa Mkuu wa Masoko na uhusiano wa Vodacom.
Awamu hii imenufaisha shule za msingi tano ambazo ni Maarifa shule ya Msingi (Ilala) Kombo shule ya Msingi (Ilala) Vingunguti Shule ya Msingi (Ilala) Mwongozo Shule ya Msingi (Kinondoni) Kimara B Shule ya Msingi (Kinondoni)
Subscribe to:
Posts (Atom)