Urban
Pulse na Freddy Macha wakiongea na watu mbalimbali jijini London
kudadisi kwanini Tanzania haikufanya vizuri katika michezo ya Olimpiki
London 2012. Baadhi yao ni Kocha wa Masumbwi Tanzania Remmy Ngabo na
Kocha wa kuogelea Sheha Mohammed Ali.
Asanteni,
Urban Pulse Creative wakishirikiana na Freddy Macha
No comments:
Post a Comment