Tukio la mwisho la Olimpiki 2012 lililokuwa na washindi toka Afrika
Mashariki ni mbio za Marathon, mitaani London . Ingawa mshindi hakutoka
Bongo- wakimbiaji wetu watatu walishiriki kwa dhati bila mafanikio.
Kabla ya kurudi nyumbani wanamichezo walialikwa na Ubalozi wetu
Uingereza. Je, ilikuwaje? Nini kilizungumziwa? Na je , nini funzo au
somo la mashindano haya kwetu sote?
Tafakari, chukua hatua na kuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mapinduzi katika tasnia ya Michezo Tanzania.
Tafakari, chukua hatua na kuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mapinduzi katika tasnia ya Michezo Tanzania.
No comments:
Post a Comment