Sunday, February 28, 2016

MWANAHABARI NA BLOGGER GEORGE BINAGI ASHEREHEKEA MIAKA YAKE

Kila ifikapo February 26 ya Kila Mwaka Mwanahabari na Blogger George Marwa BinagiGB Pazzo(Kulia) Mzaliwa wa Kijiji cha Kenyamanyori,Wilaya ya Tarime Mkoani Mara, Kikazi Jijini Mwanza, huadhimisha siku yake ya Kuzaliwa.

Jana wadau mbalimbali waliungana na GB Pazzo kusherehekea siku yake ya Kuzaliwa, ambapo katikati alikuwa ni Mgeni Rasmi ndug.Dede Petro ambae ni Mwenyekiti wa Chama cha Madereva Kanda ya Ziwa na Kushoto ni Loyce Nhaluke kutoka Kampuni ya Uuzaji Sola ya M-Power.
Picha Zaidi BONYEZA HAPA

No comments: