Monday, October 23, 2017

TAMASHA LA TIGO FIESTA LAPOKELEWA KWA SHANGWE NA WAKAZI WA SUMBAWANGA

 Aslay akiwa jukwaani akiburudisha wakazi wa Sumbawanga  kwenye jukwaa la Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nelson  Mandela Mjini Sumbawanga usiku wa kuamkia jumapili

Mashabiki wakiimba pamoja na Aslay.

Msanii Barnaba akiwa jukwaani  kwenye   Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nelson  Mandela Mjini Sumbawanga usiku wa kuamkia jumapili.

Benpol akitumbuiza wakazi wa Sumbawanga jukwaani  kwenye   Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nelson  Mandela Mjini Sumbawanga usiku wa kuamkia jumapili


Wasanii Chege na Aslay wakiwa jukwaani wakiimba pamoja kwenye jukwaa la Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nelson  Mandela Mjini Sumbawanga usiku wa kuamkia jumapili

Mimi Mars naye aliburudisha maelfu ya wakazi wa Sumbawanga usiku wa kuamkia jumapili katika  tamasha la Tigo Fiesta.

Wasanii Roma Mkatoliki na Stamina (ROSTAM) wakiwa jukwaani wakiimba pamoja kwenye jukwaa la Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nelson  Mandela Mjini Sumbawanga usiku wa kuamkia jumapili


No comments: