Thursday, November 29, 2007

HARAMBEE!


Waziri Mkuu, Edward Lowassa akimshukuru Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu nchini, Mercy Silla na Mwenyekiti wa Mamlaka , Patrick Rutabanzibwa ambeye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji (kulia) baada ya Mamlaka hiyo hiyokutoa ahadi ya kujenga shule yenye thamani y ash. Milioni 1000 katika harambee ya kuchangia maendeleo ya elimu mkoani Kagera ilyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam juzi. Wapili kushoto ni mshereheshaji , Peter Mavunde kutoka Dodoma Shilingi bilioni 1.4 zilichangwa katika harambee hiyo..(Picha na Ofisi ya Waziei Mkuu)

No comments: