Baadhi ya maswali magumu:
KWA NINI KIFO CHAKE KIMEKUWA SIRI KWA MUDA WA SIKU TANO?
NI KWELI SERIKALI ILIKUWA HAINA TAARIFA YA KIFO CHAKE?
NA KAMA WALIJUA, KWA NINI WALIAMUA KUFANYA SIRI?
BAADA YA KUCHELEWA NA HATIMAYE KUTOA TAARIFA YA KUTHIBITISHA KWELI BALALI KAFA, BOT HAWAKUWA NA TAARIFA ZAIDI YA KUSEMA WANAUNGANA NA NDUGU NA JAMAA KATIKA MSIBA HUU, WHY?!!!!
Tanzania Daima wanastahili pongezi, Uhuru wa Media nchini unafanyakazi yake! HAKUNA SIRI!
1 comment:
Ni kweli kabisa, hata mimi naungana na wewe kwa asilimia mia moja. Hii serikali sijui vipi, mi nawasiwasi nchi imeshauzwa lakini tumnafichwa tu!
Si waseme kama wameuza watugaie pesa zetu? Nchi hii bwana ah!!!
Mdau wa kudumu
Post a Comment