Friday, March 6, 2009

IJUMAA SHOWBIZ!!!

Cpwaa Aachana na Bongo Flava
Baada ya kuongoza mapinduzi katika game ya muziki wa kizazi kipya kwa ngoma zake, ‘Pwaa part 1 na 2, msanii Ilunga Kharifa ‘Cpwaa’ amesema na ShowBiz kwamba ameamua kuachana na Bongo Flava ili aende kimataifa zaidi kwa kuandika mashairi kwa lugha ya Kiingereza ili aweze kueleweka sehemu mbalimbali duniani.

Mchizi alisema kwamba, ameamua kubadilika baada ya kugundua kwamba, game ya Bongo Flava imekuwa ikipiga ‘maktaim’ kwa miaka mingi bila kusonga mbele, huku baadhi ya wenzetu kutoka Afrika wakipasua anga na kupiga mzigo kimataifa zaidi kama P-Square wa Nigeria, HHp wa Afrika Kusini, Akon, K’naan na wengine.

“Kwa kuaza tayari nimeachia ngoma mbili mpya kwenye mtandao, Problem na Revenge ambazo nimeimba kwa Kiingereza na Kiswahili kidogo. Sababu ya kuanza kuachia nyimbo kwenye ‘intaneti’ kabla ya redioni ni kwamba kule kuna soko la kimataifa, pia ni njia rahisi ya kusambaza kazi kuliko njia yoyote, siku chache zijazo baada ya kukamilisha video zake nitaachia wimbo mmoja redioni. Wasanii tusiogope kujaribu,” alisema Cpwaa. Mengi zaidi kuhusu yeye endelea kucheki na sisi.
************
Mshindi ni Irene Uwoya
Mambo vipi wapenzi wa shindano hili, ‘Ijumaa Sexiest Girl’, hii hapa ni Ijumaa nyingine bomba ambayo mlikuwa mkiisubiri kwa hamu kubwa ili kufahamu ni nani kati ya Wema Sepetu na Irene Uwoya atafanikiwa kuibuka na ushindi.

Baada ya wiki iliyopita kushikwa na kigugumizi cha kumtaja mshindi ili kuweka mazingira mazuri ikiwemo zawadi, kwa heshima na taadhima na kwa mujibu wa majaji wetu (wasomaji na wapenzi wa shindano hili) leo tunatamka kwaba, mshindi ni Irene Uwoya.

Kwa mujibu wa Mratibu wa shindano hili, Oscar Ndauka, Irene Uwoya amekuwa akiongoza kwa kura nyingi zaidi tangu mpambano huo ulipoanza, ndiyo sababu iliyomfanya leo aibuke na ushindi huo akifuatiwa na Wema Sepetu.

“Baada ya kuibuka na ushindi huo kisha kupewa heshima ya kuwa mrembo mwenye mvuto wa kimapenzi wa gazeti hili, Irene pia atapata fursa ya kufanya ‘shopingi’ ya nguvu ndani ya duka la mavazi ya kisasa, Zizzou Fashions lililopo Sinza, Dar es Salaam kama zawadi.

“Tunawashukuru wote waliyofanikisha shindano hili kukamilika kwa mafanikio, wakiwemo wasomaji na wapenzi wa mpambano huu ambao kwetu sisi ni kama majaji. Pia tunaheshimu mchango wa washiriki wote waliokuwa ndani ya shindano hili tangu mwanzo hadi hii leo ambapo tunamtaja mshindi,” alisema Ndauka.
**********

2 comments:

Anonymous said...

KUMEKUWA NA MAMBO MENGI YA KUSIKITISHA YAMEKUWA YAKIFANYWA NA HUYU MTU ANAYEJIITA ZEUTAMU...WE ALL TANZANIA'S LAKINI TUNAFANYIANA MAMBO YASIYOFAA KWA JAMII..WATU WANAFIKIA HATUA MPAKA KUTENGWA KWA KUHOFIWA NI WAATHIRIKA NA KUWA WANANYOOSHEWA VIDOLE MITAANI..NDOA ZA WATU ZIMEVUNJIKA KWA MAMBO YASIYO NA KICHWA WALA MIGUU YOTE HAYO NI KUTOKANA NA MAWAZO YA MTU MMOJA KUTAKA KUFURAHISHA NAFSI YAKE BINAFSI..
BILA HATA MSHIPA WA AIBU WAZAZI WETU WANAANDIKWA HAPA KWA KASHFA NA MAMBO YASIYO YA KWELI..

SIKATAI MTU KUWA NA UHURU WA KUFANYA ANACHOKITAKA BUT ALL IN ALL KUNA BOUNDARIES AU MIPAKA KATIKA KILA MAMBO UNAYOYAFANYA..OFCOURSE SIKATAI YA KWAMBA KILA MTU ANA HAKI YA KUFANYA ANACHOKITAKA.
HUYU BWANA MDOGO NITAPENDA KUMUITA HIVI KUTOKANA NA KUWA NA UPEO MDOGO KATIKA MAMBO ANAYOYAFANYA INGAWA NI MTU MZIMA ANAYESTAHILI KUITWA BABA..
TO SOME EXTENT HE HAS DONE SO MUCH WORSE THAN BETTER SINCE HE STARTED HIS BLOG UNOFFICIALLY...
WHAT BOTHERS NI WATU WANAKOSA AMANI KUHOFIA KUPIGWA PICHA AU KUIBIWA PICHA ZAO KWENYE NETWORKS ESP. SPCIAL ONES WHERE MOST PEOPLE MEET SO AS TO EXCHANGE THEIR IDEAS..
I BELIEVE EVERYONE HAS THE RIGHT TO EXPRESS HIS OR HER FEELINGS...
ANYWAYS NISIONGEE MENGI
I WOULD LIKE TO SHARE THE FOLLOWINGS WITH YOU..

HII NI EMAIL AMBAYO TUMEIPATA ALIKUWA ANAMTUMIA MTU AMBAYE ANATUMIA JINA LA "MARIAM MOHAMED" WHO HAS A FACEBOOK ACCOUNT with detail

Account Name: Mariam Mohamed
Hometown: London UK
Sex: Female
Email:issakumbena@gmail.com,blogzetu@googlemail.co m(the same email ipo kwenye website ya utamu)
If you can read between the lines you will realise thats a fake account
this was what The named GERALD KIGISI(zeutamuz@gmail.com) wrote to Mariam
"
Mambo bro,
ebwana nimekua bizi kinoma, ile forum yani bado kidizaini ila naishughulikia.
sasa tunakukaribisha kwenye zeutamu blog, unakaribishwa kua blog contributor... yani uweze kuweka posts.... Unaruhusiwa kurusha posts zozote ila PLEASE posts ziwe mambo yakibongo bongo tuuu!!! weka unachotaka lakini kuna boundaries... hizo boundaries tutazijua when time comes...

Namna ya kulogin: www.************/wp-login.php
username yako ni: zeutamu
password ni: *******(privacy but when in need email me)
Please angalia how wordpress works... jaribu kurusha picha moja au mbili kwa kutest. inahitaji kupractise kdogo lakini sio ngumu.
I MUST REQUEST YOU TO KEEP THIS INFO AS PRIVATE AS POSSIBLE... kikitokea kitu chochote toka kwako ambacho hakiendani na zeutamu practise ntadelete account yako.
Any questions please contact me and I will help you..."

so far this nigga GERALD KIGISI who hosts the web www.************
The Above Resides at the following adress
www.************ IP address location & more:
Host of the IP: www.************ [Whois] [Reverse IP]
Host IP [?]: 174.132.156.66 Copy [Whois] [Reverse IP]
IP address country: ip address flag United States
IP address state: Texas
IP address city: Houston
IP postcode: 77002
IP address latitude: 29.7523
IP address longitude: -95.3670
ISP of this IP [?]: THEPLANET.COM INTERNET SERVICES
Organization: THEPLANET.COM INTERNET SERVICES
Local time in United States: 2009-03-03 07:08

The Above graduated at a certain community college in United states of america on 1998
The college details with the students ID number and Registartion No

Hutchinson Community College
Admissions: admissions@hutchcc.edu
Business Office: studentbill@hutchcc.edu
General Information: (620) 665-3509
Accounts Payable: (620) 665-3423

Gerald Kigisi
Reg No. Hut8266-423IBB
Course: Comp Sci & Techn..
Year of graduation Fall 1998

HE CURRENTLY WORKS AT THIS COMPANY

Litton Loan, Houston, TX.
Litton Loan, Houston, TX., And Fidelity National Field Services, Ohio
Phone: 800-247-9727
Fax: 000-02365198

Litton Loan - Houston TX And FNFS-Ohio
Houston, Texas, 77081
U.S.A.


ANYONE WHO CAN I DENTIFY THEM PLEASE CHECK THE PICTURES BELOW...THE ONE IN A PASSPORT SIZE IS SAID TO BE ISSA KUMBENA AND THE ONE that has appeared twice IS SAID TO BE GERALD KIGISI

SO FAR THIS GUY ANAANZISHA FORUM IN COMING FEW DAYS WHICH WILL ENABLE HIM TO EARN SOME MONEY WITH EVERYONE WHO WILL REGISTER IN HIS FORUM WILL CONTRIBUTE TO HIS PAYPAL ACCOUNT $2 FOR EACH PERSON THAT WILL REGISTER IN HIS FORUM..
HE HAS NOT YET LAUNCHED IT BUT I HAVE DECIDED TO POST IT TO THE PUBLIC AND LET YOU ALL MY PALS SEE IT AND WE CAN HELP EACH OTHER TO SEIZE THIS SHIT
the website is
http://www.************/kijiweni
TRY TO LOGIN AND SEE HOW THIS GUY IS A FOOL WASTING TIME CREATING SOME GARBAGES..!!
please let us help each other katika kumu end up this fool..
I ts not a hard thing but we need cooperation
WHAT WE ARE DOING NOW

WE ARE RETREIVING ALL THE EMAILS THAT USED TO SEND PICTURES AND ALL SHIT TO THIS EMAIL
blogzetu@googlemail.com
zeutamuz@gmail.com
theutamu@gmail.com

So far Those who used to send him pictures I feel sorry for them coz we will let the world know them..!!

Huyu ni Gerald Kigisi

Huyu ndio Kigisi

huyu anajiita issa kumbena ila facebook anajulikana kama MAriam Mohamed

Anonymous said...

The Rise and Fall of the Ze Utamu

Wakati magazeti Binafsi yanaanza yalionekana ni Tishio kwa tabaka fulani, Chama tawala kikawa kinayaita magazeti hayo kuwa yanatumiwa na wapinzani na kuwa ni mali ya vyama vya Upinzani.

Nakumbuka Gazeti la MAJIRA mara kadhaa lilipata msuko suko wa kufungiwa, Komandoo mpaka aliapa kuwa Majira haitagusa uso wa aridhi ya Zanzibar. Na hicho ndicho kisa kiliifanya Majira iende Online.

Majira walipoandika kuwa mshahara wa mawaziri ni shilingi Milioni tisa Serikali ikaiita hiyo ni habari ya uchochezi, wakaifungia Majira na wananchi tukaiiunga mkono. Lakini Machoni mwa wenye Masirahi ilionekana ni gazeti la wahuni na la kichochezi.

Ilikuwa hivyo hivyo hata kwa redio, wakaweka mpaka sheria kuwa zisitangaze zaidi ya mikoa 5. Leo hii MAJIRA na Hizi redio wanaheshima kubwa sana kwa jamii yote serikali mpaka Kijijini, maana sasa tunasikia BBC, Sauti ya Ujerumani, VoA, N.k Mapaka Kijijini kateroro Bukoba, kwasababu ya hizi redio.

Vijana walipoanza kuimba nyimbo za kufoka foka na kuvalia suruali matakoni, wakaitwa wahuni na nyimbo zao zikaitwa nyimbo za wahuni, mara za vijana. Kila Mtu akisikia hizo nyimbo anaita Uhuni mtupu, hata maproducer maarufu akina Mster J. wakaitwa wahuni. Leo hii ukitaka kituo chako cha redio kisikilizwe basi usipige Bongo Flava. wameiita Bongo Falava kwani wanautambulisha kuwa ni mziki wa bongoland na wa wabongo na unaohitaji ubongo kuuimba, na kuusikiliza hata kuuelewa. Mambo huwa yanaenda yanageuka.

Eric Shigongo alipoaanza magazeti yake alisemwa sana, watu wakayaita magazeti ya Mia mia, mara ya udaku mara ya mitaani, wakatafuta kila namna ya kutaka kuyaua,. Leo yapo hewani, Eric anaalikwa katika dhifa kubwa kubwa na anapewa nafasi kubwa sana. Hadithi zake zinasomwa na kila mtu, mpaka sasa watu wanataka Eric awashauri wasomaji wake kuwa waache kusoma Hadithi zake wasome Vitabu vya shule maana ametukamata, sawa sawa, si wakubwa kwa wadogo, wasomi na maimunas.

Wakaja jamaa na Forum za mtandaoni, mafano ni hii moja iliyokuwa maarufu sana, JAMBOFORUMS. Ikawa inaandika habari za siasa, kukiwa na kablanda kadogo kawe ni tetesi hakajathibishwa, au iwe ni habari iliyotokea mchana kweupe, iwe na ushahidi iwe imefanywa kisiri siri wanaiianika wenyewe wanaiita Jamvini.

Tabaka la watu waliookuwa wanashambuliwa na mtandao huu wakaja juu, tukasikia mpaka Bungeni wabunge wanashambuliana kuwa hizo ni habari za kwenye internet. Wakajaribu kuifanya Jamii ya watanzania iamini kuwa Internet sio source nzuri ya habari, kuwa internet ni sehemu ya porojo ambako huwezi pata jambo la maana. Wakasema kuwa internet ni sehemu ya watu wasio na kazi kupoteza muda na kuangalia picha za Ngono na kuchat mambo ya kijinga jinga na kuandika kwenye maforuma yasiyo na kichwa wala miguu, kuhusu wakayaita maisha ya watu.

Wakafanya kila juhudi kuziua forum zote, wakaitafuta JAMBOFORUMS sana, upelelezi ukawekwa kila kona, baadaye wakawadaka vijana wawili na kuwaweka sero kwa kuwa waliwatuhumu kuwa wahusika wa huu mtandao. Wananchi wakaja juu, vyombo vya habari viakaungana kucondem swala kukamatwa kwa hawa vijana. Walipoona pressure kubwa wakasema huu ni mtandao wa kigaidi.

Walipokuwa wamekosa ushaihidi wa ugaidi unaofanyika katika forum hiyo, na kama ni ugaidi, ugaidi gani utafanywa wazi wazi namna hiyo? Wakabadirisha hoja waksema mtandao umekuwa ukiandika habari za uongo ambazo hazijathibitishwa, wanataka waone habari za kweli. Sisi wnengine tukaona wamekosa Point, kwani wamelazimishwa kuchukua kila kinachaonikwa hapo jamvini? kama wanaona kuna habari zisizo za kweli wanaplatform za kukanushia hizo habari, wana wizara na kurugenzi zinazohusika na habari, kwanini wasikanushe? Na kuieleza dunia ukweli?

Sasa leo hii amekuja kiumbe mwingine, huyu anajiita ZeUTAMU, duuu, Huyu tofauti na hao kaka zake waliomtangulia yeye habagui, hachagui, atakaye mzika hamjui. Maana yeye ili mradi ni picha imefika mikononi mwake inaruka hewani, kazi ya wadau wake kuchambua mchele na mawe. Akajiita anaendeleza uhuru wa kutoa maoni.

Wakati dada zake ze utamu waliwashambulia watu wa tabaka la wenye pesa, walio kwenye madaraka, yeye haangalii usoni, uwe na cheo kikubwa au mkulima wa Sumbawanga wote mnapandishwa mbele ya hakimu, na hakimu anaangalia pande zote mbili, watu wanarusha mabaya na mazuri juu ya mtuhumiwa. Kitakachokuuwa hapo ze utamu, ni umaarufu wako uko mkubwa kiasi gani, na wanamna gani? Kama kuna tufununu kidogo tu kuwa ulilala na Fulani, mara ulikuwa umelewa siku Fulani na kuna mmoja kati ya baraza la mahakama hapo wanahabari zako wanalia na wewe, habari zako zinawekwa kwa herufi kubwa bila editing, kwa uwazi kwa kutaja kila kitu na kila kiungo kilicho mwilini kuelezea hiyo habari.

Wale wale waliokuwa maarufu kwa kuwachambua wenzao wa tabaka la Juu, tabaka la wenye hela, tabaka la watawala kwa kuchangia kwenye magazeti, redio na forums, wakawa wapo kwenye hatari ya kuwekwa kwenye tanuru la moto wa hukumu ya zeUtamu.

Wameaanza kuhaha, wameanza kukimbia huku na huko wanapwayuka jamani ze Utamu, ze Utamu, hatendi haki, anakaba mpaka kwenye Penati, wamezama kuomba masaada wa kusaidiwa, jamani tunakufa tusaidieniiiiiiiiii,.
Tulipokuja kuwauliza kuna nini? tukasikia, amekuwa akfuatilia maisha binafsi ya watu. Maisha binafis ya watu ndio yepi? Je Wema Sepetu, Latoya, Richard, Edward Lowassa, Rostam Aziz, Salama Jabir, na wengine wengine mliowatundika kwenye redio, magazeti na Forums zenu hawana maisha Binfsi?

Sisi wengine wenye akili zetu tunadhani ZeUTamu anapigwa vita kwasababu amekuwa tishio la kuwaumbua hata wale waliodhani wako safe, kwani wao waliona hawako katika tabaka la watawala wala watu wenye fedha nyingi, wakajua wapo salama wao kazi kuwajadili hao wenzao. Sasa ZeUtamu amekuwa tishio,.

Wengine wamesema awe anaweka piha za watu walio uchi tu, kwani kila Fisadi wa Ngono anapiga picha za Uchi? Alafu kwani kupiga picha za Uchi ni kosa? Kwa mujibu wa nani? Kwa hiyo kama tunakubaliana kuwa Uzinzi na uasherati ni tatizo acha wote tuliopiga picha za uchi na za kwenye Nguo tuwekwe mbele ya haki tuhukumiwe sawa sawa na matendo yetu. Uzinzi ni uzinzi, uasherati ni Uasherati kwa namna yoyote ile uwe na Nguo uwe umevua.

Ze Utamu nayo imekuja kama Vyombo vingine vilivyokuwa vimekuja, nayo itapita tutakuja kuioona fashion nyingine kama Jerry Springer, Cheaters zikija Bongo hivi karibuni, Tutashangaa kuwa ilikuwa nafuu ya ze Utamu, kwani yeye aliweka picha hata huwezi kuthibitisha kama ni kweli yanayosemwa. Na ze utamu washabiki wake ni wale wanaotembela internet tu,fikiria naweka kipindi change cha cheater EATV, wangapi watakiangalia ukilinganisha na zeUtamu? Hizo zinazokuja zitakuwa mbaya zaidi maana zitakuwa na motion, sauti na picha nzuri, Tutasemaje???

Huu ndio Utandawazi, lazima tukubali, dunia haijatulia inazunguka na kila kukicha kunavichwa vimefikria jambo jipya. Jiwekeni tayari ku-cope na mabadiriko haya. Ishi maisha yako ambayo hayatakufanya uguswe kwa vikashfa kashfa visivyo na kichwa wala mikia. Kubadiri wasichana na wanaume tumelihalarisha limekuwa ni jambo la kawaida sana kwenye jamii zetu sasa hivi, kiasi kwambe mtu kutembea na wasichana sita saba tunasema hayo ni maisha yake binafsi….

Utamu atakufa tayari nimesikia kuna http://www.zemnato.blogspot.com kuendeleza kazi pale atakapoishia ZeUTamu,,,, kazi ipo kweli kweli… Mpaka tukafike,….. Sijui.
KuMbo SOURCE http://issamichuzi.blogspot.com/2009/03/hassan-na-mwanaidi-wameremeta.html#comments