Tuesday, November 17, 2009

NGWEA AINGIZA ALBAMU SOKONI!

Mkali wa free style Bongo na mwana hip hop machachari Albert Mangwea a.k.a Ngwair, kupitia Zizzou Entertaiment, leo anadondosha kitaani albamu yake ya Nge ikiwa full na hits zote zilizompa chati siku za hivi karibuni, kama vile Speed 120, Nipe Dili, Tupo Juu, n.k..hakikisha unapata nakala yako, hii si ya kukosa!!!!

No comments: