Tuesday, November 17, 2009


siyo u miss tu, hata u modo anauweza...ni Miss Tanzania 2009 Nasreem Karim

picha adimu..mbunifu wa mavazi nambari one nchini Tanzania Mustapha Hassanali, akiwa na mwanamitindo nambari one duniani, Naomi Campbell wakati wa onesho lake la hisani jijini Dar es salaam wiki iliyopita....ili kuwa ni suprise flani hivi kwa wengi kumuona live Naomi Bongo...!

No comments: