Sunday, September 26, 2010

TMK WAZIDI KUPASUA KWENYE KAMPENI

Mgombea kiti cha urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Jakaya Kikwete akihutubia mkutano mkubwa wa kampeni zake mjini Musoma jana na kuapmbwa na shoo kali za wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongo Flava.
Wasanii wa muziki wa Bongo fleva wanaounda kundi la TMK Wanaume Family, wakiongozwa na Mh. Temba (kulia) wakiwaburudisha wananchi wa Musoma wakati wa mkutano wa kampeni za JK jimboni humo jana.


No comments: