






Salaams,
Tunapenda kutoa shukrani zetu za Dhati kwa watanzania wote waishio LONDON UK walioweza kufika jana jioni AFRICAN VILLAGE BAR & RESTAURANT kuchangia waathirika wa Gongo la Mboto Tanzania. Kwa mda wa masaa mawilitumeweza kukusanya Jumla ya pesa taslim Pounds £600, pia tumekusanya Nguo nyingi kutoka kwa watu mbalimbali na vifaa vingine mbali mbali.
Ningependa kutoa shukrani za dhati kutoka URBAN PULSE,MISS JESTINA BLOG,AIL TV, LOCUS IMPEX SHIPPING CO, SHILLA FRISCH, NA Utawala wa AFRICAN VILLAGE BAR & RESTAURANT LONDON kwa kusaidia na kuwezesha kufanikiwa kwa zoezi la jana.
Mungu Ibariki AfriKa, Mungu Ibariki Tanzania
Asanteni
Tunapenda kutoa shukrani zetu za Dhati kwa watanzania wote waishio LONDON UK walioweza kufika jana jioni AFRICAN VILLAGE BAR & RESTAURANT kuchangia waathirika wa Gongo la Mboto Tanzania. Kwa mda wa masaa mawilitumeweza kukusanya Jumla ya pesa taslim Pounds £600, pia tumekusanya Nguo nyingi kutoka kwa watu mbalimbali na vifaa vingine mbali mbali.
Ningependa kutoa shukrani za dhati kutoka URBAN PULSE,MISS JESTINA BLOG,AIL TV, LOCUS IMPEX SHIPPING CO, SHILLA FRISCH, NA Utawala wa AFRICAN VILLAGE BAR & RESTAURANT LONDON kwa kusaidia na kuwezesha kufanikiwa kwa zoezi la jana.
Mungu Ibariki AfriKa, Mungu Ibariki Tanzania
Asanteni
2 comments:
Jmani Jestina amejichubua sana, mbona haya mambo ya aibu?
Watu wail kosa kazi! Wana ache kulenga shughuli Jestina na wenzake waliyo ifanya wanabaki kuungalia amebas nini na anaonekanaje! Je na motto wake kamchubua pia.. Maana baba ya motto ni black
Post a Comment