MRISHO'S BLOG

Pages

  • Home
  • BIG D GENERAL SUPPLIER

.

.
.

Sunday, September 25, 2011

Katibu wa TA Reading na Mkewe Wameremeta!

Salam,
URBAN PULSE CREATIVE inawaletea picha za tukio la Harusi ya nguvu iliyofanyika Jumamosi Tarehe 25 septemba  2011 Katika ofisi ya Reading Registrar  kati ya Katibu wa Tawi la TA Hapa Mjini Reading, Amri Dello, na Alice Kapya. Baada ya Kufunga pingu za maisha tafrija ilifanyika ndani ya Boat na kuzunguka mitaa ya berkshire hadi  windsor kwa Queen na kumalizikia katika Mji wa Reading.
 Wadau mbalimbali walikuwepo katika sherehe hii akiwepo Mhe. Balozi wetu Peter Kallaghe.
URBAN PULSE inapenda kuwapa hongera sana Maharusi wetu na kuwatakia kila la kheri katika safari yao ndefu walioianza leo.
MUNGU AWABARIKI,
Asanteni

URBAN PULSE CREATIVE
 
bwana na bibi Harusi wakiwa wanameremeta
 
Dello akimlisha keki mkewe
 
Picha ya Pamoja kutoka kwa pande zote za famailia na wadau waliokuja leo kushuhudia Harusi
 
Bonge la kiss 
 
Bwana Harusi akiweka Sahihi kwenye cheti cha ndoa



Posted by Mrisho's Photography at 4:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Blog Up

The Best online Users

Together Tunawakilisha......

Together Tunawakilisha......
Abdallah Mrisho ‘Abby’

Kuchi kuchi John Pro Remix Ug Msk J' Odie

MY PARTNERS!

  • MICHUZI BLOG
    ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
    3 hours ago
  • JIACHIE
    USHIRIKIANO WA ADEM NA WADAU WA MAENDELEO KUINUA UONGOZI WA ELIMU
    3 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K
    2 years ago
  • H@ki Ngowi
    Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
    7 years ago
  • HARUSINI
    LAILA & WASIA MAYA'S WEDDING RECEPTION IN U.S.A
    9 years ago
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync
    10 years ago
  • MjengwaBlog
  • THE BEST

Total Pageviews

Translate

Search This Blog

HOT VIDEO

Popular Posts

  • HODI ULIMWENGU WA MUZIKI TANZANIA!
    Huyu ni mtoto mwenye umri wa miaka 8 tu, lakini tayari ameonesha kipaji cha kuimba na ana nyimbo lukuki za bongo flava, anaitwa Miriam Edwar...
  • IJUMAA SHOWBIZ!
    Bahati Bukuku kuwakutanisha mastaa wa Injili Msanii wa nyimbo za injili nchini Bahati Bukuku anatarajia kuwakutanisha baadhi ya mastaa wa fa...
  • IGENI NA HII!
    Mnaopenda kujiachia Bongo, igeni na hii fashion basi!
  • Warembo wawania taji la mtandao
    Shindano la kumtafuta Vodacom Miss Tanzania 2008 limepamba moto na Jumamosi ijayo ndiyo fainali itakayotoa mrithi wa Richa Adhia ambaye anat...
  • MASIKINI TID!
    Medani ya muziki wa kizazi kipya imepigwa butwaa leo baada ya mwanamuziki TID, kwa mara ya mwisho akitamba na wimbo wake Nilikataa, kuhukum...
  • ANAOMBA MSAADA WA KUPATA MME.
    THE WOMAN IS IN TROUBLE Hi pal, My name is Cassandra Moloi I'm 28 years old and I have no kids and I'm single. I have 5 degrees and...
  • MBWA ANAPOMLEA MTOTO WA MBUZI.......!
    A paternal dog has adopted an abandoned baby goat as his surrogate child. Billy 'the boxer' has become the constant companion of the...
  • UHURU FM WALIPOLIAMSHA DUDE JANA KWENYE VIWANJA VYA MWEMBEYANGA, TEMEKE, KATIKA TAMASHA LA 'GUSA MAISHA YAKE' KUMUENZI BABA WA TAIFA HAYATI MWALIMU NYERERE
    Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Juma Kiroboto, maarufu Juma Nature, akisababisha jukwaani, katika Tamasha la 'Gusa Maisha yao...
  • FORBES MAGAZINE REVEALS MO AND MAKAMBA JR AMONG 10 POWERFUL
    Mohammed Dewji, Tanzania, Group Chief Executive Officer of Mohammed Enterprises Tanzania Limited Dewji is the Group Chief Executive O...

LOOK FOR YOUR STORY HERE

Awesome Inc. theme. Theme images by tomograf. Powered by Blogger.