MRISHO'S BLOG

Pages

  • Home
  • BIG D GENERAL SUPPLIER

.

.
.

Sunday, September 25, 2011

Katibu wa TA Reading na Mkewe Wameremeta!

Salam,
URBAN PULSE CREATIVE inawaletea picha za tukio la Harusi ya nguvu iliyofanyika Jumamosi Tarehe 25 septemba  2011 Katika ofisi ya Reading Registrar  kati ya Katibu wa Tawi la TA Hapa Mjini Reading, Amri Dello, na Alice Kapya. Baada ya Kufunga pingu za maisha tafrija ilifanyika ndani ya Boat na kuzunguka mitaa ya berkshire hadi  windsor kwa Queen na kumalizikia katika Mji wa Reading.
 Wadau mbalimbali walikuwepo katika sherehe hii akiwepo Mhe. Balozi wetu Peter Kallaghe.
URBAN PULSE inapenda kuwapa hongera sana Maharusi wetu na kuwatakia kila la kheri katika safari yao ndefu walioianza leo.
MUNGU AWABARIKI,
Asanteni

URBAN PULSE CREATIVE
 
bwana na bibi Harusi wakiwa wanameremeta
 
Dello akimlisha keki mkewe
 
Picha ya Pamoja kutoka kwa pande zote za famailia na wadau waliokuja leo kushuhudia Harusi
 
Bonge la kiss 
 
Bwana Harusi akiweka Sahihi kwenye cheti cha ndoa



Posted by Mrisho's Photography at 4:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Blog Up

The Best online Users

Together Tunawakilisha......

Together Tunawakilisha......
Abdallah Mrisho ‘Abby’

Kuchi kuchi John Pro Remix Ug Msk J' Odie

MY PARTNERS!

  • MICHUZI BLOG
    WAZIRI MKUU ASHIRIKI TAMASHA LA MTOKO WA PASAKA, ASISITIZA AMANI
    45 minutes ago
  • JIACHIE
    SHIRIKA LA DAWA ASILI LATOA TAMKO TAARIFA ZA KUPOTEA KWA NYETI ZA WANAUME
    1 hour ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K
    2 years ago
  • H@ki Ngowi
    Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
    8 years ago
  • HARUSINI
    LAILA & WASIA MAYA'S WEDDING RECEPTION IN U.S.A
    9 years ago
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync
    10 years ago
  • MjengwaBlog
  • THE BEST

Total Pageviews

Translate

Search This Blog

HOT VIDEO

Popular Posts

  • IJUMAA SHOWBIZ!
    Bahati Bukuku kuwakutanisha mastaa wa Injili Msanii wa nyimbo za injili nchini Bahati Bukuku anatarajia kuwakutanisha baadhi ya mastaa wa fa...
  • IGENI NA HII!
    Mnaopenda kujiachia Bongo, igeni na hii fashion basi!
  • MASIKINI TID!
    Medani ya muziki wa kizazi kipya imepigwa butwaa leo baada ya mwanamuziki TID, kwa mara ya mwisho akitamba na wimbo wake Nilikataa, kuhukum...
  • Warembo wawania taji la mtandao
    Shindano la kumtafuta Vodacom Miss Tanzania 2008 limepamba moto na Jumamosi ijayo ndiyo fainali itakayotoa mrithi wa Richa Adhia ambaye anat...
  • ANAOMBA MSAADA WA KUPATA MME.
    THE WOMAN IS IN TROUBLE Hi pal, My name is Cassandra Moloi I'm 28 years old and I have no kids and I'm single. I have 5 degrees and...
  • MWONGOZO WA UKUAJI BORA WA MIJI WAZIDI KUNOLEWA
      Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) Dkt. Tausi Kida akitoa neno la ukaribisho wakati wa mkutano ...
  • Mastaa hawa walivyoipokea hukumu ya TID
    Kalapina: Kwa upande wangu mimi nilishangaa TID kuhukumiwa kifungo, kwasababu siku ya tukio tulikuwa wote ukumbini, huyo dogo aliyemshitaki ...
  • MBWA ANAPOMLEA MTOTO WA MBUZI.......!
    A paternal dog has adopted an abandoned baby goat as his surrogate child. Billy 'the boxer' has become the constant companion of the...
  • Mrembo auawa!
    NA DOTTO MWAIBALE Mhudumu wa Baa ya Salama Beach iliyopo Kiwalani Bombom jijini Dar es Salaam, Lightness Johnson (17), amefariki dunia baa...

LOOK FOR YOUR STORY HERE

Awesome Inc. theme. Theme images by tomograf. Powered by Blogger.