MRISHO'S BLOG

Pages

  • Home
  • BIG D GENERAL SUPPLIER

.

.
.

Sunday, September 25, 2011

Katibu wa TA Reading na Mkewe Wameremeta!

Salam,
URBAN PULSE CREATIVE inawaletea picha za tukio la Harusi ya nguvu iliyofanyika Jumamosi Tarehe 25 septemba  2011 Katika ofisi ya Reading Registrar  kati ya Katibu wa Tawi la TA Hapa Mjini Reading, Amri Dello, na Alice Kapya. Baada ya Kufunga pingu za maisha tafrija ilifanyika ndani ya Boat na kuzunguka mitaa ya berkshire hadi  windsor kwa Queen na kumalizikia katika Mji wa Reading.
 Wadau mbalimbali walikuwepo katika sherehe hii akiwepo Mhe. Balozi wetu Peter Kallaghe.
URBAN PULSE inapenda kuwapa hongera sana Maharusi wetu na kuwatakia kila la kheri katika safari yao ndefu walioianza leo.
MUNGU AWABARIKI,
Asanteni

URBAN PULSE CREATIVE
 
bwana na bibi Harusi wakiwa wanameremeta
 
Dello akimlisha keki mkewe
 
Picha ya Pamoja kutoka kwa pande zote za famailia na wadau waliokuja leo kushuhudia Harusi
 
Bonge la kiss 
 
Bwana Harusi akiweka Sahihi kwenye cheti cha ndoa



Posted by Mrisho's Photography at 4:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Blog Up

The Best online Users

Together Tunawakilisha......

Together Tunawakilisha......
Abdallah Mrisho ‘Abby’

Kuchi kuchi John Pro Remix Ug Msk J' Odie

MY PARTNERS!

  • JIACHIE
    MWENGE WAHAMASISHA NISHATI SAFI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA, ,WAGAWA MITUNGI 40 RUFIJI
    5 hours ago
  • MICHUZI BLOG
    VYAMA 12 VYAPONGEZA RIPOTI YA TUME YA UCHUNGUZI YA MATUKIO YA OKTOBA 29
    8 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K
    2 years ago
  • H@ki Ngowi
    Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
    8 years ago
  • HARUSINI
    LAILA & WASIA MAYA'S WEDDING RECEPTION IN U.S.A
    9 years ago
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync
    10 years ago
  • MjengwaBlog
  • THE BEST

Total Pageviews

Translate

Search This Blog

HOT VIDEO

Popular Posts

  • IJUMAA SHOWBIZ!
    Nakaaya Wasanii na vyama vya upinzani: Sugu aandaliwa makubwa CHADEMA, Nakaaya ndani, Kalapina, Madee pia wamo Ni exclusive lakini pia ...
  • NI NANI HUYU?
    Huyu ni mwanadada maarufu Bongo na ni miongoni mwa wanawake wanaotawala sana Media. Kwa sasa yuko nchini Marekani kwa 'vekesheni' ma...
  • Zijue faida za ajabu za karanga!
    Wengi wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Kiukw...
  • KIZUNGUZUNGU NI DALILI MBAYA
    You are what you eat! Tofauti na watu wengi wanavyodhani, kizunguzungu huwa ni ishara ya tahadhari inayotolewa na mwili kuwa kuna kitu haki...
  • MWONGOZO WA UKUAJI BORA WA MIJI WAZIDI KUNOLEWA
      Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) Dkt. Tausi Kida akitoa neno la ukaribisho wakati wa mkutano ...
  • Zijue faida za kula korosho kwa afya yako
    Ni zao dogo, lakini maarufu duniani. Kwa mtizamo wa kawaida, una weza kulidharau zao hili. Wengi wetu hatuli korosho na hata pale tunapokula...
  • Zijue faida za soya, watu wazima na watoto
    Kutokana na maombi ya wasomaji wetu wapendwa, nimeamua kukuletea makala haya kuhusu soya na vyakula vinavyotengenezwa kutokana na zao hili m...
  • CNN HONOURS EXTRAORDINARY DEEDS
    Steve Peifer Peter Kithene December 2007 CNN Worldwide and its global audience paid special tribute last night to seven ordinary peopl...
  • Vijue vyakula vya mgonjwa wa presha
    Hakuna kitu kibaya kwa mgonjwa kama kula vyakula ambavyo huongeza tatizo alilonalo bila kujijua. Kwa kuwa tunaamini kwamba, jinsi tulivyo tu...

LOOK FOR YOUR STORY HERE

Awesome Inc. theme. Theme images by tomograf. Powered by Blogger.