MRISHO'S BLOG

Pages

  • Home
  • BIG D GENERAL SUPPLIER

.

.
.

Sunday, September 25, 2011

Katibu wa TA Reading na Mkewe Wameremeta!

Salam,
URBAN PULSE CREATIVE inawaletea picha za tukio la Harusi ya nguvu iliyofanyika Jumamosi Tarehe 25 septemba  2011 Katika ofisi ya Reading Registrar  kati ya Katibu wa Tawi la TA Hapa Mjini Reading, Amri Dello, na Alice Kapya. Baada ya Kufunga pingu za maisha tafrija ilifanyika ndani ya Boat na kuzunguka mitaa ya berkshire hadi  windsor kwa Queen na kumalizikia katika Mji wa Reading.
 Wadau mbalimbali walikuwepo katika sherehe hii akiwepo Mhe. Balozi wetu Peter Kallaghe.
URBAN PULSE inapenda kuwapa hongera sana Maharusi wetu na kuwatakia kila la kheri katika safari yao ndefu walioianza leo.
MUNGU AWABARIKI,
Asanteni

URBAN PULSE CREATIVE
 
bwana na bibi Harusi wakiwa wanameremeta
 
Dello akimlisha keki mkewe
 
Picha ya Pamoja kutoka kwa pande zote za famailia na wadau waliokuja leo kushuhudia Harusi
 
Bonge la kiss 
 
Bwana Harusi akiweka Sahihi kwenye cheti cha ndoa



Posted by Mrisho's Photography at 4:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Blog Up

The Best online Users

Together Tunawakilisha......

Together Tunawakilisha......
Abdallah Mrisho ‘Abby’

Kuchi kuchi John Pro Remix Ug Msk J' Odie

MY PARTNERS!

  • JIACHIE
    GSLA yajivunia mafanikio Serikali ya Awamu ya Sita
    8 hours ago
  • MICHUZI BLOG
    GSLA yajivunia mafanikio Serikali ya Awamu ya Sita
    8 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K
    1 year ago
  • H@ki Ngowi
    Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
    7 years ago
  • HARUSINI
    LAILA & WASIA MAYA'S WEDDING RECEPTION IN U.S.A
    8 years ago
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync
    9 years ago
  • MjengwaBlog
  • THE BEST

Total Pageviews

Translate

Search This Blog

HOT VIDEO

Popular Posts

  • IJUMAA SHOWBIZ!
    Nakaaya Wasanii na vyama vya upinzani: Sugu aandaliwa makubwa CHADEMA, Nakaaya ndani, Kalapina, Madee pia wamo Ni exclusive lakini pia ...
  • "Maziwa ya Unga si Salama kiafya"- Bodi ya Maziwa Tanzania
    Tazama hapa kuona tukio hilo: Afisa masoko wa Bodi ya Maziwa Tanzania, Bw. Michael Mkalati akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari (Haw...
  • Zijue faida za soya, watu wazima na watoto
    Kutokana na maombi ya wasomaji wetu wapendwa, nimeamua kukuletea makala haya kuhusu soya na vyakula vinavyotengenezwa kutokana na zao hili m...
  • Bottled water in your car is very dangerous!
    Another reminder! No matter how many times you get this E-mail, Please send it on!!!! On the Ellen show, Sheryl Crow said that this is what ...
  • WACHINA NUKSI, 'FEKI' MPAKA KWENYE MAYAI!
    Tahadhari inatolewa kuwa imegundulika jamaa wa China wanatengeneza mpaka mayai feki na huwezi kuona tofauti ya ladha kati ya yai feki na h...
  • Mrembo auawa!
    NA DOTTO MWAIBALE Mhudumu wa Baa ya Salama Beach iliyopo Kiwalani Bombom jijini Dar es Salaam, Lightness Johnson (17), amefariki dunia baa...
  • GLOBAL PUBLISHERS YAZINDUA SHINDANO LA ‘JISHINDIE NOAH’
      Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (kushoto) akizungumza katika mkutano huo. Kushoto kwake ni Ofisa Tarafa wa Magomeni, Fl...
  • KINACHOMPONZA PRODYUZA TUDD THOMAS NI UCHAWI
      Prodyuza Tudd Thomas . MASHABIKI wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka dutigit...
  • "KIFUNGO HURU" LYRICS by C-SIR MADINI
    Track Name: KIFUNGO HURU Singer: C-SIR MADINI lyrics composed by: C-SIR MADINI, KID BWOY & JOSEFLY arranged by: C-SIR MADINI Produ...

LOOK FOR YOUR STORY HERE

Awesome Inc. theme. Theme images by tomograf. Powered by Blogger.