Sunday, October 2, 2011

TAARIFA YA KUPOTEA KWA NDG. MARK K. MFUNGUO (MSAADA KWENYE TUTA

 Ndg. Mark K. Mfunguo(pichani)  mkazi wa Ubungo Msewe(karibu na kanisa la Deeper Life) amepotea tangu tarehe 01/10/2011 kabila lake ni mchagga wajihi wake ni maji ya kunde na ana mvi kichwani ana umri wa miaka 65 na ana tatizo la kupoteza kumbukumbu. Mara ya mwisho kuonekana ilikuwa ni tarehe 01/10/2011 siku ya jumamosi maeneo ya UBUNGO-EMAUS alipokwenda kwa ajili ya huduma ya maombi.

Mwenye taarifa zozote za kuonekana kwake atoe taarifa kwenye kituo chochote cha Polisi kilichopo karibu naye na namba zifuatazo

0786-871720
0688-871720
0754484947
0713698240
0754-455176

1 comment:

Baraka Mfunguo said...

Kamanda nashukuru kwa msaada wako. Ndg Mark Mfunguo kwa bahati nzuri aliweza kuonekana jana majira ya saa tisa alasiri maeneo ya Stendi ya Mkoa.