Saturday, November 10, 2012

EPIQ BONGO STAR SEARCH YAMLIZA MADAM RITHA

 
Jaji mkuu wa shindano la Epiq Bongo Star Search, Madam Ritha (katikati) akilia
 
Madam Rita akilia kwa uchungu wakati mshiriki aliyetambulika kwa jina la Walter Chilambo ambaye ndiye mshindi wa shindano hilo alipokuwa akiimba wimbo wa Ben Paul
 
............ akifuta machozi baada ya kumaliza kulia
 
Washiriki walioingia mbili bora wakiwa wameshikana wakisubiri kutangazwa kwa mshindi
 
Majaji wakihesabu kura kutoka kwenye lap top
 
Mshindi wa shindano hilo Walter akiwa amekaa chini baada ya kutangazwa kutokana na kuishiwa nguvu
 
Mshindi wa shindano hilo akiwa ameshikilia sanduku lake lenye zawadi ya kitita cha shilingi milioni hamsini
 
Madam Rita akimpongeza mshindi wa shindano hilo baada ya kutangazwa
 
Mashabiki waliohudhuria katika onyesho hilo wakifuatilia kwa makini
 
Msaani maarufu filamu nchini Vicent Kigosi 'Ray' akifuatilia mpambano kwa makini
 
Wasanii kutoka nyumba ya vipaji ya THT Linah (kushoto) wakikamua kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee wakati wa Fainali ya EBSS usiku wa kuamkia leo.
 
Lina (aliyesimama) na Amini wakionyesha maujuzi jukwaani.
 
Walter Chilambo akiimba kwa hisia kali kabla ya kutangazwa mshindi.
 
Walter akikusanya fedha alizotunzwa na mashabiki kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, usiku wa kuamkia leo.
 
Walter akiimba kwa hisia

No comments: