Familia ya Marehemu Chief Shaaban Mtengeti II, inasikitika kutangaza kifo cha shangazi yao mpendwa Mama
Rose Heinrich Sangiwa Mataji, mama yake Robin, Henry na Robert,
kilichotokea Jumamosi tarehe 28 September alasiri huko Rochester, New
York, Marekani. Habari ziwafikie ukoo wote wa Mzee Heinrich Sangiwa,
Bakari Sangiwa, Athumani Sangiwa, Mtengeti Sangiwa, Kihama Sangiwa,
Koshuma Sangiwa, Profesa Twalib Ngoma na ukoo wote wa kina Ngoma, na
wa kwa Mdimu wote, na ukoo wa Rtd. Col. Julius Mataji wa Dodoma. Mipango
ya mazishi inafanyika Rochester, New York.
Kwa
Dar es Salaam
ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu watakutana nyumbani kwa Bi. Hajjat
Mwatumu Jasmine Malale, 51 Mlingotini Close, Regent Estate, Dar es
Salaam Jumatatu Septemba 30, jioni baada ya saa za kazi. Kwa mawasiliano
simu 0713 317 254; 0752 345 602.
No comments:
Post a Comment