Saturday, August 11, 2007

VITUKO VYA 'GOAT RACE'

Mbuzi wa kijana Hassan Mpole ndiye aliyeibuka mshindi katika mashindano ya mbio za Mbuzi yaliyofanyika Leaders Club jijini Dar es slaam Jumamos mchana. Mbuzi nambari nne mgongoni aliibuka na kitita cha 1.2m za bongo!
Mshike mshike wa mbio za mbuzi, Leaders Club Jumamosi mchana
Hawa ni 'minjemba', usidhani ni akina aunt, kundi lao linajiita AYAM GOAT RACING na ndio wenye mashindano haya bongo

No comments: