Tuesday, December 9, 2008

JK AIFAGILIA THT

Rais Jakaya Kikwete, Jumatatu alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 3 za kuanzishwa kwa taasisi ya Tanzania House Of Talents, zilizofanyika Karimjee gardens na kusema kuwa amefurahishwa sana na burudani aliyoipata. Pichani akitoa hotuba yake kwa wageni waalikwa.
...wasanii wa THT wakifanya vitu vyao
...baloon likipaa ikiwa ni ishara ya mafanikio ya THT
wadau kutoka Vodacom, Mwamvita Makamba (kushoto) na Fina Mango nao walikuwepo
Afande Sele akisalimiana na First Lady Mama Salma
Mwaciti (kati) akiwa na wasanii wenzake wa THT
Msanii K-sher(kati) akiwa na msanii mwenzie Monica (kushoto) na mbunge wa kuteuliwa Mh. Al-shymaa ambaye ni dada wa Monica wakati wa sherehe hizo
JK katika picha ya pamoja na wasanii wa Bongo Flava
JK akiondoka baada ya sherehe huku akisindikizwa na mwenyeji wake Ruge Mutahaba

2 comments:

Anonymous said...

nimefurahishwa sana na Kazi ZA THT UBARIKIWE SANA RUGE KWA KWELI KUTAMBUA VIPAJI NI KARIMA YAKO.THT WANAWATAKIA KUDUMU MILELE

Anonymous said...

HONGERA SANA THT KWA KAZI NZURI.MUNGU AZIDI KUKUBARIKI RUGE KWA KARAMA ALIYOKUPA WISH YOU ALLTHE BEST.