Aliyekuwa mtangazaji wa Channel Ten na Magic FM, Abdallah Ramadhani, amezikwa jioni hii baada ya kufariki dunia katika ajali ya gari mwishoni mwa wiki iliyopita. Mazishi yake yalihudhuriwa na watu wengi kutoka kada mbalimbali, wakiongozwa na wafanyakazi wenzake. Mungu alitoa na Mungu ametwaa, jina lake lihimidiwe na ailaze roho ya marehemu peponi - ameen!
Monday, October 11, 2010
BURIANI ABDALLAH 'ABUU'
Aliyekuwa mtangazaji wa Channel Ten na Magic FM, Abdallah Ramadhani, amezikwa jioni hii baada ya kufariki dunia katika ajali ya gari mwishoni mwa wiki iliyopita. Mazishi yake yalihudhuriwa na watu wengi kutoka kada mbalimbali, wakiongozwa na wafanyakazi wenzake. Mungu alitoa na Mungu ametwaa, jina lake lihimidiwe na ailaze roho ya marehemu peponi - ameen!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment