Friday, February 17, 2012

VODACOM YATEMBELEA MAWAKALA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza  akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuazimisha siku ya wateja wa kampuni hiyo ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walienda mitaani kuelimisha wateja kuhusu huduma ya m-pesa na promosheni zinazoendelea za punguzo la utumaji fedha la asilimia 75 na bonasi hadi asilimia 25 unaponunua muda wa hewani kupitia m-pesa.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza  akizindua msafara wa magari wakati wa kuazimisha siku ya wateja wa kampuni hiyo ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walienda mitaani kuelimisha wateja kuhusu huduma ya m-pesa na promosheni zinazoendelea za punguzo la utumaji fedha la asilimia 75 na bonasi hadi asilimia 25 unaponunua muda wa hewani kupitia m-pesa.Kushoto Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa kampuni hiyo Mwamvita Makamba.
 .Msafara wa magari ya Vodacom Tanzania ukipita katika barabara ya Morogoro maeneo ya Manzese jijini Dar es Salaam yakiwabeba wafanyakazi wa kampuni hiyo leo wakati wa kuazimisha siku ya wateja wa kampuni hiyo ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walienda mitaani kuelimisha wateja kuhusu huduma ya m-pesa na promosheni zinazoendelea za punguzo la utumaji fedha la asilimia 75 na bonasi hadi asilimia 25 unaponunua muda wa hewani kupitia m-pesa.
 Mmoja wa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania akibandika tangazo linaonyesha huduma za m-pesa wakati wa kuazimisha siku ya wateja wa kampuni hiyo ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walienda mitaani kuelimisha wateja kuhusu huduma ya m-pesa na promosheni zinazoendelea za punguzo la utumaji fedha la asilimia 75 na bonasi hadi asilimia 25 unaponunua muda wa hewani kupitia m-pesa.

 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwa katika mitaa ya Mbagala jijini Dare s Salaam wakitembea kwenda kuwaelimisha wateja wao wakati wa kuazimisha siku ya wateja wa kampuni hiyo ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walienda mitaani kuelimisha wateja kuhusu huduma ya m-pesa na promosheni zinazoendelea za punguzo la utumaji fedha la asilimia 75 na bonasi hadi asilimia 25 unaponunua muda wa hewani kupitia m-pesa

 Mzee Said Ally mkazi wa Mbagala akipewa maelekezo na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania juu ya huduma ya m-pesa wakati wa Promosheni kuazimisha siku ya wateja nchini nzima ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walienda mitaani kuelimisha wateja kuhusu huduma ya m-pesa na promosheni zinazoendelea za punguzo la utumaji fedha la asilimia 75 na bonasi hadi asilimia 25 unaponunua muda wa hewani kupitia m-pesa
 Wasanii wakiburudisha wakati wa Promosheni kuazimisha siku ya wateja wa kampuni hiyo ambapo wafanyakazi wa kampuniya Vodacom  walienda mitaani kuelimisha wateja kuhusu huduma ya m-pesa na promosheni zinazoendelea za punguzo la utumaji fedha la asilimia 75 na bonasi hadi asilimia 25 unaponunua muda wa hewani kupitia m-pesa.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakibandika matangazo katika moja ya kibanda cha duka Mbagala Zakiemu yakionyesha huduma za m-pesa wakati wafanyakazi hao walipokuwa wakiazimisha siku ya wateja ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walienda mitaani kuelimisha wateja kuhusu huduma ya m-pesa na promosheni zinazoendelea za punguzo la utumaji fedha la asilimia 75 na bonasi hadi asilimia 25 unaponunua muda wa hewani kupitia m-pesa.


KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom imeanza kuwatembelea wateja wao nchi nzima ili kujua changamoto gani ambazo wanakutana nazo baada ya kuzindua promosheni ya punguzo la huduma ya kutuma pesa (M-pesa)  kwa asilimia 75.

Pamoja ya kujua changamoto za huduma hiyo pia kampuni hiyo imeangalia jinsi wateja wake walivyo pokea huduma hiyo muhimu.

Akizungumza mjini Dar es Salaam jana Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Rene Meza alisema kwa kutambua umuhimu wa wateja wao hapa nchini kampuni hiyo imetenga siku muhimu ijulikanayo kama ‘Siku ya masoko’ ili kuangalia jinsi gani wateja wao walivyo elewa na kuzipokea huduma zao.

“Wafanya kazi wote wa Vodacom nchi nzima leo (jana) wakiongozwa na wakurugenzi na washiriki wote wa kampuni yetu wata watembelea mawakala na wananchi ili tuangalia changamoto gani wanazokutana nazo na kusikiliza ushauri wao.

“ Tatizo la mawasilianio ni kubwa sana tumekuwa tukipata malalamiko kutoka kwa wateja wetu hivyo kwa kutumia siku hii muhimu tutajua matatizo yote ambayo wateja wetu wanakutana nayo,”alisema Meza.

Naye Afisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Mwamvita Makamba alisema huduma ya M-pesa imerahisisha maisha kwa wananchi wa hali zote hapa nchini kwani kwa kutumia huduma hiyo wateja wameweza kulipia huduma ya Luku pamoja na  ada kwa wanafunzi bila matatizo.

Kampuni ya Vodacom imeweka  kianzio cha Sh 50 cha kutuma  pesa na bonas ya asilimia 25 kwa wateja wake ambayo itaenda  sambamba na zawadi ya kitita cha Sh milion 480 kushindaniwa.


Maeneo ambayo yametembelea na Vodacom kwa Dar es Salaam ni pamoja na Kariakoo, Tegeta, Kimara, mbezi pamoja na  Mbagala.

No comments: