DAR CITY FC: TIMU MPYA MACHACHARI

Dar City FC ni timu mpya inayoshiriki katika ligi ya Wilaya ya Kinondoni huku ikiwa inaongoza katika kundi lake na tayari imeshaonesha mafanikio makubwa katika kipindi kifupi tangu ianzishwe na mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa, Athumani Tippo. Pichani ni baadhi ya wazee club na mlezi wa klabu hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na vijana hao ambao wameonesha kuwa na vipaji vya hali ya juu vya kusakata kabumbu na tayari watatu wao wapo kwenye Timu ya Taifa ya vijana.
No comments:
Post a Comment