Saturday, March 28, 2009

ZIZZOU YADHAMINI MR. HANDSOME




Baadhi ya washiriki wa shindano la kumtafuta kijana mtanashati wa jiji la Dar es salaam (Mr. Dar handsome) wakiwa katika Salon na duka la Zizzou mchana wa leo katika maandalizi yao ya mwisho kwa upande wa mavazi na kujiweka soap soap. Shindano linafanyika usiku huu, New Africa Hotel na Zizzou Fashions ni mdhamini wa shindano hilo.

1 comment:

Anonymous said...

kaaaaaaaaazi kwelikweli..........