MRISHO'S BLOG

Pages

  • Home
  • BIG D GENERAL SUPPLIER

.

.
.

Sunday, July 15, 2007

KU-FAINT KWA MISS UNIVERSE: ETI ALIOGOPA KUPIMA NGOMA!

Wakati Rais Kikweti akiwa ndani ya banda maalum akipima 'ngoma' katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam Jumamosi iliyopita, Flaviana Matata, Mrembo wa Tanzania aliyeshiriki mashindano ya Miss Universe mwaka huu na kufanya vizuri, alikuwa nje ya banda hilo pamoja na umati wa watu wengine wakisubiri kwa hamu kuona kiongozi wetu anamaliza zoezi hilo na wengine waingie kupima, lakini ghafla mrembo wetu hali ikabadilika na kuanguka chini...eti aliona zamu yake imefika akapata shock...na hivi ndivyo picha kamili ilivyokuwa..!




Pole dada Flaviana kwa maswahibu yaliyokupata.....!


Posted by Mrisho's Photography at 5:56 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

1 comment:

Anonymous said...

siku kama hii kwanini wamemvisha manguo hayo jamani du kweli ulibwende unatabu yake

July 16, 2007 at 1:54 AM

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Blog Up

The Best online Users

Together Tunawakilisha......

Together Tunawakilisha......
Abdallah Mrisho ‘Abby’

Kuchi kuchi John Pro Remix Ug Msk J' Odie

MY PARTNERS!

  • MICHUZI BLOG
    TAASISI YA LIFE AND HOPE YAFUNGUA SOBER HOUSE MPYA ILEMELA, JIJINI MWANZA
    6 hours ago
  • JIACHIE
    ZAIDI YA WATU MILIONI 37 WAJIANDIKISHA KUPIGA KURA OKTOBA
    8 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K
    1 year ago
  • H@ki Ngowi
    Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
    7 years ago
  • HARUSINI
    LAILA & WASIA MAYA'S WEDDING RECEPTION IN U.S.A
    8 years ago
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync
    9 years ago
  • MjengwaBlog
  • THE BEST

Total Pageviews

Translate

Search This Blog

HOT VIDEO

Popular Posts

  • IJUMAA SHOWBIZ!
    Nakaaya Wasanii na vyama vya upinzani: Sugu aandaliwa makubwa CHADEMA, Nakaaya ndani, Kalapina, Madee pia wamo Ni exclusive lakini pia ...
  • Bottled water in your car is very dangerous!
    Another reminder! No matter how many times you get this E-mail, Please send it on!!!! On the Ellen show, Sheryl Crow said that this is what ...
  • Zijue faida za soya, watu wazima na watoto
    Kutokana na maombi ya wasomaji wetu wapendwa, nimeamua kukuletea makala haya kuhusu soya na vyakula vinavyotengenezwa kutokana na zao hili m...
  • "Maziwa ya Unga si Salama kiafya"- Bodi ya Maziwa Tanzania
    Tazama hapa kuona tukio hilo: Afisa masoko wa Bodi ya Maziwa Tanzania, Bw. Michael Mkalati akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari (Haw...
  • WACHINA NUKSI, 'FEKI' MPAKA KWENYE MAYAI!
    Tahadhari inatolewa kuwa imegundulika jamaa wa China wanatengeneza mpaka mayai feki na huwezi kuona tofauti ya ladha kati ya yai feki na h...
  • M-NET’S BIG BROTHER AMPLIFIED 7 HOUSEMATES IN IT TO WIN IT AS VIMBAI, KIM AND MILLICENT STUMBLE IN THE FINAL WEEK
      Vimbai, Kim and Millicent all fell one tantalizing step short of a shot at the two USD200 000 prizes on M-Net’s Big Brother Amplified l...
  • KINACHOMPONZA PRODYUZA TUDD THOMAS NI UCHAWI
      Prodyuza Tudd Thomas . MASHABIKI wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka dutigit...
  • Mrembo auawa!
    NA DOTTO MWAIBALE Mhudumu wa Baa ya Salama Beach iliyopo Kiwalani Bombom jijini Dar es Salaam, Lightness Johnson (17), amefariki dunia baa...
  • GLOBAL PUBLISHERS YAZINDUA SHINDANO LA ‘JISHINDIE NOAH’
      Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (kushoto) akizungumza katika mkutano huo. Kushoto kwake ni Ofisa Tarafa wa Magomeni, Fl...

LOOK FOR YOUR STORY HERE

Awesome Inc. theme. Theme images by tomograf. Powered by Blogger.